Suala la wateuliwa CWT: Jenista Mhagama, Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu kashindwa kazi

Suala la wateuliwa CWT: Jenista Mhagama, Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu kashindwa kazi

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Suala la wateuliwa kutoka CWT kukataa uteuzi kwa baadhi yao kwa kweli ni fedheha kwa serikali ya rais Samia.
Waziri husika hakufanya kazi yake.

Tunavyofahamu uteuzi wowote serikalini, hasa kwa ngazi ya juu ni lazima utanguliwe na vetting.
Vetting hii inafanywa na vyombo tofauti ikiwemo TISS.

Na hata vetting ikikamilika mteule huwa ni lazima anakuwa na habari na kutakiwa kuwa na maoni ikiwa ni pamoja na kujitayarisha kisaikolojia. Na mpaka hatua hiyo suala zima bado ni siri kubwa.

Sasa kuteuliwa u DC kwa hao viongozi toka CWT inaelekea limefanyika kiswahili swahili tu.

Mbaya zaidi kuna watu wanaenda mbali ati kulaumu kukataa uteuzi. Kibinadamu kama mtu hajajitayarisha kutoka sehemu yake ya kazi, si lazima akubali uteuzi. Hiyo ni haki yake.

Waziri husika, Jenista Mhagama amemuabisha Mama Samia kwa kufanya kazi bila utaratibu katika teuzi hizi.
Anywe kikombe chake kichungu na aombe radhi.
 
Jenista mhagama amemuaibishaje , wakat Pascal Mayalla alisema , yyte anayefanya kazi serikalini au shirika la Uma , au chama chini ya serikali anateuliwa popote bila taarifa na lazima utii , anayefanya kaz sekta binafsi na hayupo serikalini huyo ndo anapewa taarifa Kwanza .... Utaratibu wa hovyo kweli kweli
 
Jenista mhagama amemuaibishaje , wakat Pascal Mayalla alisema , yyte anayefanya kazi serikalini au shirika la Uma , au chama chini ya serikali anateuliwa popote bila taarifa na lazima utii , anayefanya kaz sekta binafsi na hayupo serikalini huyo ndo anapewa taarifa Kwanza .... Utaratibu wa hovyo kweli kweli
Uongozi serikalini hauteuliwi kihuni huni tu.
La sivyo utajikuta umejaza mamluki serikalini.
Maana ya vetting ni pamoja na kumjua mteuliwa na kujua uzalendo na utayari wake.
Muulize huyo Paskali, wakati mwingine hadi wazazi na marafiki wa mteuliwa huchunguzwa.
Uteuzi haufanywi kiholela tu, mradi tu mtu abafanya kazi serikalini.
Wizara husika imevurunda.
 
Suala la wateuliwa kutoka CWT kukataa uteuzi kwa baadhi yao kwa kweli ni fedheha kwa serikali ya rais Samia.
Waziri husika hakufanya kazi yake.
Tunavyofahamu uteuzi wowote serikalini, hasa kwa ngazi ya juu ni lazima utanguliwe na vetting.
Vetting hii inafanywa na vyombo tofauti ikiwemo TISS.

Na hata vetting ikikamilika mteule huwa ni lazima anakuwa na habari na kutakiwa kuwa na maoni ikiwa ni pamoja na kujitayarisha kisaikolojia.

Na mpaka hatua hiyo suala zima bado ni siri kubwa.

Sasa kuteuliwa u DC kwa hao viongozi toka CWT inaelekea limefanyika kiswahili swahili tu.

Mbaya zaidi kuna watu wanaenda mbali ati kulaumu kukataa uteuzi.
Kibinadamu kama mtu hajajitayarisha kutoka sehemu yake ya kazi, si lazima akubali uteuzi.
Hiyo ni haki yake.

Waziri husika, Jenista Mhagama amemuabisha Mama Samia kwa kufanya kazi bila utaratibu katika teuzi hizi.
Anywe kikombe chake kichungu na aombe radhi.
Utateuaje watu bila pricess kamilifu ya due diligence?
Huku ni kufanya kazi unproffessionally.
 
eti anawachukulia hatua - nchi yetu haiishi vioja.
 
Uongozi serikalini hauteuliwi kihuni huni tu.
La sivyo utajikuta umejaza mamluki serikalini.
Maana ya vetting ni pamoja na kumjua mteuliwa na kujua uzalendo na utayari wake.
Muulize huyo Oaskali, wakati mwingine hadi wazazi na marafiki wa mteuliwa huchunguzwa.
Uteuzi haufanywi kiholela tu, mradi tu mtu abafanya kazi serikalini.
Wizara husika imevurunda.

Mimi nimesema hv wafanyakazi wa vyama vya serikali ,mashirika ya kiserikali ,na waliopo serikalini sio lazima apewe taarifa ya kuteuliwa kabla jina halijatoka kuna mdau humu maarufu alidokeza hvyo , na hapa ndo shida ilipo na sio mara ya Kwanza kutokea, watu washakataa huko nyuma hzo teuzi , huo uchunguzi wako sjui mpak wazazi mi sjui na hata kama huwa wanachunguza hvyo bado kipengele cha kumjulisha mhusika kabla ya kumteua ni mhimu ...

Jenista mhagama hajaaibisha mtu , ni taratibu zilizopo, wakiona tabu ku_alert mteuliwa waweke vigezo watu waombe kazi , Kwa maombi hayo mtapitia vigezo vya mhusika na huo uchunguzi uliodai sjui mpak wazazi , Kwa vile ameomba jina likitoka hii fedheha ya watu kukukatalia haitakuwepo......

Sasa we unanichunguza kimya kimya unajiridhisha kimya kimya alaf unaamkia kwenye Gia kuniteua bila taarifa , Kwa nn nisizingue....
 
Mimi nimesema hv wafanyakazi wa vyama vya serikali ,mashirika ya kiserikali ,na waliopo serikalini sio lazima apewe taarifa ya kuteuliwa kabla jina halijatoka kuna mdau humu maarufu alidokeza hvyo , na hapa ndo shida ilipo na sio mara ya Kwanza kutokea, watu washakataa huko nyuma hzo teuzi , huo uchunguzi wako sjui mpak wazazi mi sjui na hata kama huwa wanachunguza hvyo bado kipengele cha kumjulisha mhusika kabla ya kumteua ni mhimu ...

Jenista mhagama hajaaibisha mtu , ni taratibu zilizopo, wakiona tabu ku_alert mteuliwa waweke vigezo watu waombe kazi , Kwa maombi hayo mtapitia vigezo vya mhusika na huo uchunguzi uliodai sjui mpak wazazi , Kwa vile ameomba jina likitoka hii fedheha ya watu kukukatalia haitakuwepo......

Sasa we unanichunguza kimya kimya unajiridhisha kimya kimya alaf unaamkia kwenye Gia kuniteua bila taarifa , Kwa nn nisizingue....
Utumishi serikalini siyo jeshi.
Zina utaratibu na vigezo vyake.
Tutajaza mamluki kama Sabaya serikalini.
 
Jenista mhagama amemuaibishaje , wakat Pascal Mayalla alisema , yyte anayefanya kazi serikalini au shirika la Uma , au chama chini ya serikali anateuliwa popote bila taarifa na lazima utii , anayefanya kaz sekta binafsi na hayupo serikalini huyo ndo anapewa taarifa Kwanza .... Utaratibu wa hovyo kweli kweli
Nenda muulize tena huyo Pasco juu ya suala la Jenerali Ulimwengu.
TISS waliamua kufanya due diligence wakagundua kuwa ni mtutsi wa Rwanda.
TISS ya wakati huo chini ya Mkapa ilikuwa makini sana.
Walienda hadi Rwanda kuwa interview shangazi zake na Jenerali.

Sasa hivi mambo yanafanyika kiholeka holela tu.
 
Nenda muulize tena huyo Pasco juu ya suala la Jenerali Ulimwengu.
TISS waliamua kufanya due diligence wakagundua kuwa ni mtutsi wa Rwanda.
TISS ya wakati huo chini ya Mkapa ilikuwa makini sana.
Walienda hadi Rwanda kuwa interview shangazi zake na Jenerali.

Sasa hivi mambo yanafanyika kiholeka holela tu.
Kuwa mtutsi , sjui mrundi sio hoja , hoja hapa kuniteua bila taarifa , labda kama hujanielewa vzur... Mbna Raisi ana vinasaba vya Oman
 
Nenda muulize tena huyo Pasco juu ya suala la Jenerali Ulimwengu.
TISS waliamua kufanya due diligence wakagundua kuwa ni mtutsi wa Rwanda.
TISS ya wakati huo chini ya Mkapa ilikuwa makini sana.
Walienda hadi Rwanda kuwa interview shangazi zake na Jenerali.

Sasa hivi mambo yanafanyika kiholeka holela tu.
Gwakisa wako wengi sana Msumbiji
 
Ni wakati sasa Rais kuufunga mjadala humu Kwa kufanya uteuzi mwingine maana , kama huko nyuma iliwahi tokea wateule kukacha uteuzi na wakateuliwa wengine, siioni sababu ya kuwaandama.
 
Kuwa mtutsi , sjui mrundi sio hoja , hoja hapa kuniteua bila taarifa , labda kama hujanielewa vzur... Mbna Raisi ana vinasaba vya Oman
Kudharau taratibu za uteuzi ndizo zinatufikisha hapa.
Serikali haifanyi kazi kwa weledi inavyotarajiwa kufanya.
 
Suala la wateuliwa kutoka CWT kukataa uteuzi kwa baadhi yao kwa kweli ni fedheha kwa serikali ya rais Samia.
Waziri husika hakufanya kazi yake.
Tunavyofahamu uteuzi wowote serikalini, hasa kwa ngazi ya juu ni lazima utanguliwe na vetting.
Vetting hii inafanywa na vyombo tofauti ikiwemo TISS.

Na hata vetting ikikamilika mteule huwa ni lazima anakuwa na habari na kutakiwa kuwa na maoni ikiwa ni pamoja na kujitayarisha kisaikolojia.

Na mpaka hatua hiyo suala zima bado ni siri kubwa.

Sasa kuteuliwa u DC kwa hao viongozi toka CWT inaelekea limefanyika kiswahili swahili tu.

Mbaya zaidi kuna watu wanaenda mbali ati kulaumu kukataa uteuzi.
Kibinadamu kama mtu hajajitayarisha kutoka sehemu yake ya kazi, si lazima akubali uteuzi.
Hiyo ni haki yake.

Waziri husika, Jenista Mhagama amemuabisha Mama Samia kwa kufanya kazi bila utaratibu katika teuzi hizi.
Anywe kikombe chake kichungu na aombe radhi.
halafu ni kama kuna kitu kinaendelea kuhusiana na hao jamaa.ilikuwa wakateuliwa wawili kutoka taasisi moja yaani CWT?siyo kama kuna agenda ya siri inayoendelea kwao?tulitazame na hilo pia.Jenista uwezo wake ni mdogo hata elimu yake ni ndogo.hajasomea utawala,yeye ni mwalimu historia na kiingereza tena kwa level ya diploma ya kawaida ila tu kabebwa na ngekeva tu basi lkn kichwani ni mtupu.
 
halafu ni kama kuna kitu kinaendelea kuhusiana na hao jamaa.ilikuwa wakateuliwa wawili kutoka taasisi moja yaani CWT?siyo kama kuna agenda ya siri inayoendelea kwao?tulitazame na hilo pia.Jenista uwezo wake ni mdogo hata elimu yake ni ndogo.hajasomea utawala,yeye ni mwalimu historia na kiingereza tena kwa level ya diploma ya kawaida ila tu kabebwa na ngekeva tu basi lkn kichwani ni mtupu.
Katika suala hili, waziri Jenista Mhagama kaonyesha udhaifu mkubwa sana.
 
Kuwa mtutsi , sjui mrundi sio hoja , hoja hapa kuniteua bila taarifa , labda kama hujanielewa vzur... Mbna Raisi ana vinasaba vya Oman
Mkuu bottom line ni vetting.
Mradi mtu ni raia mwenye allegience na nchi, kabila doesnt matter.

Maana ya vetting ni kumjulisha vile vile unayemteua ili mapema sana akubali au akatae.
 
Yaani upewe taarifa kuwa unateuliwa ?

Yaani ukatae uteuzi wa Rais na pia unahoji ?

Uhuru unazidi.
 
Back
Top Bottom