matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Hii taarifa tangu nilipoiona, kama inaukweli basi nchi yetu ni masikini wa kutupwa.
Inaonuesha uhalali wa kupigwa mizinga popote utakapopita.
Inaonyesha vuguvugu la uchawa ni harakati za watu waliolemewa na utegemezi wa kifikra uliokithiri.
Hali hii wenda ndio imepelekea ongezeko la ukahaba, wacheza kamari, mashoga, machawa na kunguni, ombaomba, vibaka.
Kama kauli hii ya kusema karibu asilimia 87 ya watanzania wote ni tegemezi itaeleweka kwa kina kwa kila mtu itawavunja moyo wengi na kubaki wanatarajia msaada na kuombaomba.
Hii inasikitisha kwa sababu inaonesha tangu uhuru sisi tunazidi kudidimia. Tunazidiwa kabisa na Watanzania wa miaka ya zama za mawe ambao walijitegemea kiakili na kimwili wakati wakiwa sio welevu kama sisi.
Inaonyesha ongezeko la vyuo halijasaidia, mashule hayajasaidia,
Unadhani nini kifanyike?
Mimi napendekeza itangazwe siku moja ya mapumziko na taifa zima watu wabaki majumbani watafakari wanakwama wapi.
Na wanaoongoza nchi waje na blue print mpya ya kututoa hapa. Hii taarifa binafsi imenifanya nipne aibu sana.
Ni hayo tu.
KAMATI ya Bunge ya Bajeti imeshauri serikali kuhakikisha ongezeko la watu linaendana na ukuaji wa uchumi kwa kuwa kwasasa kati ya watu 87 kati ya 100 ni tegemezi.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza ameyasema hayo bungeni leo alipokuwa akisoma maoni ya kamati kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26 pamoja na mapendekeo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya serikali kwa Mwaka 2025/26.
Amesema kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya Mwaka 2022, idadi ya watu ilikuwa ni 61,741,120 Mwaka 2022 na inakadiriwa kuwa 87,509,630 ifikapo Mwaka 2035 kutokana na ongezeko la watu la asilimia 3.2 kila mwaka.
Njeza amesema ongezeko hilo la idadi ya watu nchini haliendani na ukuaji wa uchumi.
Pia soma: Bunge: Hali ya Utegemezi Nchini inatisha. Katika Watu 100, watu 87 ni Tegemezi
Inaonuesha uhalali wa kupigwa mizinga popote utakapopita.
Inaonyesha vuguvugu la uchawa ni harakati za watu waliolemewa na utegemezi wa kifikra uliokithiri.
Hali hii wenda ndio imepelekea ongezeko la ukahaba, wacheza kamari, mashoga, machawa na kunguni, ombaomba, vibaka.
Kama kauli hii ya kusema karibu asilimia 87 ya watanzania wote ni tegemezi itaeleweka kwa kina kwa kila mtu itawavunja moyo wengi na kubaki wanatarajia msaada na kuombaomba.
Hii inasikitisha kwa sababu inaonesha tangu uhuru sisi tunazidi kudidimia. Tunazidiwa kabisa na Watanzania wa miaka ya zama za mawe ambao walijitegemea kiakili na kimwili wakati wakiwa sio welevu kama sisi.
Inaonyesha ongezeko la vyuo halijasaidia, mashule hayajasaidia,
Unadhani nini kifanyike?
Mimi napendekeza itangazwe siku moja ya mapumziko na taifa zima watu wabaki majumbani watafakari wanakwama wapi.
Na wanaoongoza nchi waje na blue print mpya ya kututoa hapa. Hii taarifa binafsi imenifanya nipne aibu sana.
Ni hayo tu.
KAMATI ya Bunge ya Bajeti imeshauri serikali kuhakikisha ongezeko la watu linaendana na ukuaji wa uchumi kwa kuwa kwasasa kati ya watu 87 kati ya 100 ni tegemezi.
Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Oran Njeza ameyasema hayo bungeni leo alipokuwa akisoma maoni ya kamati kuhusu mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/26 pamoja na mapendekeo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya serikali kwa Mwaka 2025/26.
Amesema kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya Mwaka 2022, idadi ya watu ilikuwa ni 61,741,120 Mwaka 2022 na inakadiriwa kuwa 87,509,630 ifikapo Mwaka 2035 kutokana na ongezeko la watu la asilimia 3.2 kila mwaka.
Njeza amesema ongezeko hilo la idadi ya watu nchini haliendani na ukuaji wa uchumi.
Pia soma: Bunge: Hali ya Utegemezi Nchini inatisha. Katika Watu 100, watu 87 ni Tegemezi