jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Niaje wadau, Ninauza Subaru legacy touring wagon TS type R,
Number DTE
Mileage 49k
Reason to sell: Ninahama Tanzania kikazi,
Note: is the one of the best car
Leta picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niaje wadau, Ninauza Subaru legacy touring wagon TS type R,
Number DTE
Mileage 49k
Reason to sell: Ninahama Tanzania kikazi,
Note: is the one of the best car
Niaje wadau, Ninauza Subaru legacy touring wagon TS type R,
Number DTE
Mileage 49k
Reason to sell: Ninahama Tanzania kikazi,
Note: is the one of the best car
Inaendeleaje Boss hiyo chuma?Ndinga imewasili since June, its almost more than a month now and sure I am very happy with the car
Usikatishwe tamaa ktk ndio zako kila mtu ana njia yake ya mahitaji na mafanyikio go madamee na iweke kikike kike na kula colour moja amazing ukipenda nenda sport rims wanaokukatisha tamaa watakuja kuomba picha wenywe na lift na kupata experience kwako chuma iko huwani sina shida na kima wala maoni ya mtuMimi napenda hizi Subaru forestor za kuanzia mwaka 2008, japo nakatishwa tamaa kua hazifaa kwa ladies kweli?? Nipeni moyo maana naipenda sana ....Mungu akipenda December naiagiza.
Kaka hii chuma bei ake mchaka mchaka kdgo hahahaha ila jxt chase ur dream
Kwa io kwenye gari wahsi Cc ndo mbio? Njoo na Cc zako 3000+ kwenye turbo Cc 2500 utaelewa somo vzur hapo kwenye. Gari umetaja only crown athletics yenye 2gr engne Cc 3500 ndo kdgo tishio izo zingne n ist zilizochangamka tuCc za Subaru forester ni ndogo ukilinganisha na brevis,crown,mark X lakini wengi tunaona Subaru ni jini kumbe ni kawaida Tu
Chuma imekula body kits za kutosha mixer sport rims huku dual pipes colour ya kibabe sanaa hapo hata kwa bunduki viete sichukui hahahahahah. Though msikate tamaa hata bongo ukiwa na hela ako muon3kano uo unapata ziko chuma n zaidi ya io kwa looks
Kuna jamaa ananunua na kurekebisha ukiwa willing waweza nichek nkudirect kwke wana group lao na oldxcl ridesMie napenda Beatle old model sijui kwa nini? hivi zinapatikana wapi! mwenye kujua................... nacho zipendea kukatiza kwenye vidimbwi kwa ukatili!
Umesoma comment Yangu vizuri au umekurupuka?Kwa io kwenye gari wahsi Cc ndo mbio? Njoo na Cc zako 3000+ kwenye turbo Cc 2500 utaelewa somo vzur hapo kwenye. Gari umetaja only crown athletics yenye 2gr engne Cc 3500 ndo kdgo tishio izo zingne n ist zilizochangamka tu
Kuna jamaa ananunua na kurekebisha ukiwa willing waweza nichek nkudirect kwke wana group lao na oldxcl rid
Waweza kuwa umekurupuka pia hata ktk uandishi wako sa jini ktk gari wap na wap no hard fellings here bro hasira zako weka ktk kutafta pesa zitakusaidia mnoUmesoma comment Yangu vizuri au umekurupuka?
Wapi nimetaja ishu za mbio? Nyie watu mnapenda ligi za ajabu
Yuko dar mshkaji broMkoa gani best make nina usongo nazo hasa South africa mwanangu zipo za kumwaga tena nziiima!!! ni wewe tu! nimesikia na Brazil pia!
😀😀😀 ist zilizo changamka nimecheka kweli.. 2GR nayo si inawezekana kufanya modification ukaiongezea nguvu kwa kuweka turbo ? kuna gari zina CC ndogo ila moto wake sio wa kitoto kwa mfano hata scirroco yenye 1.4 TFSI ni shidaKwa io kwenye gari wahsi Cc ndo mbio? Njoo na Cc zako 3000+ kwenye turbo Cc 2500 utaelewa somo vzur hapo kwenye. Gari umetaja only crown athletics yenye 2gr engne Cc 3500 ndo kdgo tishio izo zingne n ist zilizochangamka tu
Itakucost sanaa na gari inaweza isibehave unavyotaka sema labda kufanya delimit tu na kufanya modification ya throttle press 2gr inakula majesta Cc 3000 V8 very smooth yaani😀😀😀 ist zilizo changamka nimecheka kweli.. 2GR nayo si inawezekana kufanya modification ukaiongezea nguvu kwa kuweka turbo ? kuna gari zina CC ndogo ila moto wake sio wa kitoto kwa mfano hata scirroco yenye 1.4 TFSI ni shida
Nimekupata sana mkuu. Hii 2GR imevutia sana, Mwenyezi Mungu akijalia nitavuta hii kitu huko mbeleni japo naziona chacheItakucost sanaa na gari inaweza isibehave unavyotaka sema labda kufanya delimit tu na kufanya modification ya throttle press 2gr inakula majesta Cc 3000 V8 very smooth yaani
Bongo ziko chache na shida wengi hawazijui vzur cost mostly bongo wanunuzi wa magari n kwa usafiri na show off wachache sanaa anaagiza au kununua gari na kujua undani ktk ubora na faults za gari husika but tuko buzy sanaa na maisha pia eboo🤣🤣🤣Nimekupata sana mkuu. Hii 2GR imevutia sana, Mwenyezi Mungu akijalia nitavuta hii kitu huko mbeleni japo naziona chache