vipi ulaji wa mafuta wa subaru nasikia zmekaa kimichezo sana sasa kwa mizunguko ya sokoni na kazini itanifaa kweli?Hiyo Harrier imezeeka sana aisee, Karibia miaka 20 Sasa Tangu itengenezwe
Hizi Ndio hapa Mjini zinauzwa hadi million6 zikitumika
Mkuu I've no experience na gari za Japan, mm natumia Germany brand, Volkswagen au Audi. Ungeomba ushauri wa hizi ningekupa mzuri sana.vipi ulaji wa mafuta wa subaru nasikia zmekaa kimichezo sana sasa kwa mizunguko ya sokoni na kazini itanifaa kweli?
bei yake unakwendaje maana hzo nlizo zitaja bei haizid 15mMkuu I've no experience na gari za Japan, mm natumia Germany brand, Volkswagen au Audi. Ungeomba ushauri wa hizi ningekupa mzuri sana.
Ila nakushauri pia angalia Volkswagen Touran, ni gari Nzuri sana na popote inaingia,
Achana na hizo gari common
Hii hapa
Gari Nzuri kubwa, boot ya kutosha, speed 260km/h
Ingia kwny mtandao km Be Forward then tafuta Volkswagen golf touran, Bei zake za kawaida sana, hata ushuru ni tofauti na gari za Japan, ingawa hizi nazo zinatoka Japan.bei yake unakwendaje maana hzo nlizo zitaja bei haizid 15m
R. I.P. in advance kama atanunua gari ya hii speedMkuu I've no experience na gari za Japan, mm natumia Germany brand, Volkswagen au Audi. Ungeomba ushauri wa hizi ningekupa mzuri sana.
Ila nakushauri pia angalia Volkswagen Touran, ni gari Nzuri sana na popote inaingia,
Achana na hizo gari common
Hii hapa
Gari Nzuri kubwa, boot ya kutosha, speed 260km/h
Hahaha mkuu mbona yangu ni speed 300km/h na nipo Salama, the highest speed Nimewahi kuendesha ni 270km/h ingawa Nina mpango nimalize zote 300 siku moja.R. I.P. in advance kama atanunua gari ya hii speed
Nilifika siku moja 160 na kibiriti changu nikaogopa sana pamoja na kwamba sikuona shida kwenye gariHahaha mkuu mbona yangu ni speed 300km/h na nipo Salama, the highest speed Nimewahi kuendesha ni 270km/h ingawa Nina mpango nimalize zote 300 siku moja.
300 ni speed ya ndege wakati Wa ku-take off!
Ilikuwa ni gari gani? Vw au ipi?Nilifika siku moja 160 na kibiriti changu nikaogopa sana pamoja na kwamba sikuona shida kwenye gari
Mkuu ilikuwa Volkswagen wapi ? Ist tuIlikuwa ni gari gani? Vw au ipi?
Km ni Volkswagen sio tatizo kabisa
Duh kumbe umeandika 160 nilijua 260, ah usifanye hivyo siku nyingine utakufaa, Toyota sio gari ni usafiri tu wa kawaida, usicheze nao barabaraniMkuu ilikuwa Volkswagen wapi ? Ist tu
Umesema toyota nini?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Duh kumbe umeandika 160 nilijua 260, ah usifanye hivyo siku nyingine utakufaa, Toyota sio gari ni usafiri tu wa kawaida, usicheze nao barabarani
Toyota hana gari zaidi ya kuwa ni usafiri wa kawaida mkuu, IST yako ni usafiri sio gari!Umesema toyota nini?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Zipo mkuu toyotaToyota hana gari zaidi ya kuwa ni usafiri wa kawaida mkuu, IST yako ni usafiri sio gari!