Subaru forester XT yenye Turbo Vs isiyo na turbo

Subaru forester XT yenye Turbo Vs isiyo na turbo

Jinsi haya magari mnavyoyachambua mnanitamanisha sana japo haya mambo ya spidi ya magari nawaachia wajuzi maana huku barabarani ni balaa,

kuna kipindi nilikuwa naitafuta mji kasoro usiku flani hivi kama saa 3 natembea 140 tu (kwa sie ambao hatuna uzoefu sana na ruti ndefu nilijiona kama napaa hivi) aisee nikiwa katikati ya safari kuna raia alinipita kwa spidi kama nimesimama vile

Hapo ndio niliamini kuna raia wanatembea😁, yaani hakunipa nafasi hata ya kulijua ni gari gani zaidi ya kuona taa nyekundu zile za breki zinaishilia
 
Jinsi haya magari mnavyoyachambua mnanitamanisha sana japo haya mambo ya spidi ya magari nawaachia wajuzi maana huku barabarani ni balaa,

kuna kipindi nilikuwa naitafuta mji kasoro usiku flani hivi kama saa 3 natembea 140 tu (kwa sie ambao hatuna uzoefu sana na ruti ndefu nilijiona kama napaa hivi) aisee nikiwa katikati ya safari kuna raia alinipita kwa spidi kama nimesimama vile

Hapo ndio niliamini kuna raia wanatembea[emoji16], yaani hakunipa nafasi hata ya kulijua ni gari gani zaidi ya kuona taa nyekundu zile za breki zinaishilia

Kitu kimoja unapswa kukumbuka, pamoja na hizi story zote, barabara zetu nyingi hasa usiku hazifai kwa speed kubwa sana (hasa kutembea hivyo kwa vipande virefu).
Binafsi, napenda gari zenye nguvu ila sipendi mashindano barabarani kwa sababu za kiusalama.
Hakunaga makaburi ya waoga ndugu yangu.
 
Upo sahihi mkuu, ya Singapore haina hiyo badge ya XT ila ni turbo, pia nyingi 240kph... Zina majanga hizo acha kabisa... nina experience na moja ambayo ilikuwa ej25 with turbo.... miezi 6 ya mwanzo haikuwa na shida yeyote, baada ya hapo ilikuwa ni balaa...
Hapa ilizingua migori njia ya mtera na fundi alipiga spanner siku 4 bila mafanikio ikabidi niibebe tu... kabla ya hapo ilizingua Arusha, ikazingua mbeya yaani kwa kifupi ilikuwa ni michosho... ila ikiwa katika ubora wake ilikuwa ni moto balaaa... hizo 240kph kizifuta ilikuwa kawaida tu... now nimehamia kwenye 3GRView attachment 2392744
Kubeba walichukua sh ngapi
 
Kitu kimoja unapswa kukumbuka, pamoja na hizi story zote, barabara zetu nyingi hasa usiku hazifai kwa speed kubwa sana (hasa kutembea hivyo kwa vipande virefu).
Binafsi, napenda gari zenye nguvu ila sipendi mashindano barabarani kwa sababu za kiusalama.
Hakunaga makaburi ya waoga ndugu yangu.
Is Subaru powerful car?
 
Mkuu Taa ya Check engine & Traction control ikiwaka kwenye 2010 SUBARU FORESTER 2.5 XS Auto inaweza kuwa nini? Nimebadili PLUGS bado japo exhaust limetoboka linaweza kuwa chanzo?
Traction control system huwa inazimwaga na kuwashwa na mtumiaji. Fanya diagnosis ujue kama ina shida.

Check engine maana yake ufatilie either kuna starvation ya oil haizunguki vizuri kwenye engine due to bad oil pump. Bad speed sensors hivyo inashindwa kupeleka taarifa sahihi za speed kwenye ecu hivyo gari haibadili gear vizuri.

Tafta fundi mzuri akufanyie diagnosis ya mashine
 
Mkuu Taa ya Check engine & Traction control ikiwaka kwenye 2010 SUBARU FORESTER 2.5 XS Auto inaweza kuwa nini? Nimebadili PLUGS bado japo exhaust limetoboka linaweza kuwa chanzo?
Update:
Toka Juzi nilikuwa na hio gari, jana ikaniletea same issue. Turns out kumbe hilo tatizo ni so common kwa Subaru ila solution yake ni ya kitoto sana. Zima gari fungua mfuniko wa mafuta icheue kidogo hewa nje kisha kaza vizuri mfuniko. Kata terminal ya battery kwa dakika 15 kisha rudishia.

Tatizo kwisha 🤣🤣🤣
 
Update:
Toka Juzi nilikuwa na hio gari, jana ikaniletea same issue. Turns out kumbe hilo tatizo ni so common kwa Subaru ila solution yake ni ya kitoto sana. Zima gari fungua mfuniko wa mafuta icheue kidogo hewa nje kisha kaza vizuri mfuniko. Kata terminal ya battery kwa dakika 15 kisha rudishia.

Tatizo kwisha 🤣🤣🤣
solution ya kukata terminal nilidhani iko kwenye toyota tu kumbe na subaru imoo😂, unatembea na kaspana kako personal😂😂😂😂 tutafika tu, na ukilazimisha battery itanyonya na haitawaka mpaka kesho labda mtu akupe power
 
Niko mbioni kununua gari Aina ya Subaru forester xt series au SH series Kwa wale wajuzi wa magari na wenye experience za magari ipi gari nzuri in terms of ÷

1:ulaji mafuta
2: stability
3:ukubwa wa engine
4:uimara wa engine
5: comfort Ukiwa ndani ya gari

Na kampuni gani nzuri itaniletea chombo Safi kabisa toka Japani.

View attachment 2391203View attachment 2391204

Hakuna XT isiyo na TURBO labda badge imebandikwa tu urembo lkn from manufacturers XT zote ni turbo
 
Back
Top Bottom