Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Nisaidie kujua matumizi ya mafuta kwenye gari huwa mnahesabuje. Toka nianze kumiliki gari 1997 sijawahi kuwaza jinsi gan gar inatumia mafuta/kmInatakiwa itumie reasonably...
Gaei la cc 1490 kwenda km 6kwa lita si mateso hayo.?
Baba hapo unarubuniwa, vuta huo mchongo, akose wese. Utaulizwa wakt una nunua ulikuwa hujui lina kula wese???Shemeji yenu kaninunia kisa anataka Hii Subaru.
Anadai kaipenda sana, na vile ni 4WD basi simuelezi kitu. Anadai mafuta atajua mbele kwa mbele jinsi ya kuyapata, lakini kwanza Subaru kwanza ije nchini ndio amani irudi.
Uwezo wa kununua upo, maana hesabu za haraka haraka 10Mil ni tosha kabisa kwa hii gari, Ushauri wenu please unahitajika maana huo mnuno nliopewa na hii baridi ni balaa!!
Aendelee kumsikiliza kila anachoambiwa na bibie atakuja okota Makopo muda si mrefuBaba hapo unarubuniwa, vuta huo mchongo, akose wese. Utaulizwa wakt una nunua ulikuwa hujui lina kula wese???
In short huu mzigo ni mke wa pili ambaye hatoi K
Yah..Tule tu impreza tudogo twa cc 1490? ndiyo tunakula mafuta hivi..?
Wazazi wako wanatembelea gari gani? Naamini Akili za Subaru Forester umezipata kwa mademu.kimondo msolopa Nataka kumiliki Subaru 2009-2012 Edition, naomba tofauti kati ya Subaru Forester XT na hiyo ambayo haijaandikwa XT kwenye fuel consumption, perfomance n.k
Njia rahisi fanya hivi....hapo kwenye dash kuna ile button ukiibonyeza unaweza kuona mileage ya gari au Trip A na trip B..Nisaidie kujua matumizi ya mafuta kwenye gari huwa mnahesabuje. Toka nianze kumiliki gari 1997 sijawahi kuwaza jinsi gan gar inatumia mafuta/km
Wazazi wako wanatembelea gari gani? Naamini Akili za Subaru Forester umezipata kwa mademu.
Nijuavyo,XT ni Turbocharged,moto wa kuotea mbali kwa mbio na nguvu. Ila yana urafiki sana na maji ya uarabuni. Kwa pale mbele ya Bonnet kuna kiuwazi fulani hivi. Ila kwa kweli Subaru Forester Model ya mwaka 2008 na kuendelea gazi zake ziko safi sana,utadhani Vanguard. Ni gari nzuri sana,sema ugumu tu wa maisha ndo kinachofikirisha kuhusu mafuta. Labda tuhamie mfumo wa gesi wa pale Dar Tech(Sasa DIT)kimondo msolopa Nataka kumiliki Subaru 2009-2012 Edition, naomba tofauti kati ya Subaru Forester XT na hiyo ambayo haijaandikwa XT kwenye fuel consumption, perfomance n.k
Aisee...Kweli kabisa mi nimependa seat zake sio kama mabenchi ya Rav.4 CHAZA sasa XT nyingine haina pua mbinuko kwa bonnet ina maana hii turbo ipo au haipo, na inasemekana eti made in Singapore ndio bora kuliko made in Japan hebu msaada kidogo kabla ya kujilipuaView attachment 1209304View attachment 1209305View attachment 1209306View attachment 1209307View attachment 1209309View attachment 1209310View attachment 1209311View attachment 1209312View attachment 1209313
Aisee...
Siti za RAV 4 ni mabenchi..?
Hatari sana...[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli ....Rav 4 Kili time na Rav 4 Masawe hamna comfortability mle.....Yani mabenchi kabisa kama ya shule ya kata. Btw Rav 4 kilitime kurudi nyuma haziko comfortable nisamehe bure kwakweli. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Mkuu Doama,hiyo ni bonge ya gari,chukua hiyo kitu mkuu. Uzuri gari za kwa wenzetu,kabla haijauzwa hufanyiwa ukarabati na inakua imesimama. Hivyo hadi ije ikusumbue baada ya miaka kadhaa. By the way,spare unaagiza tu kupitia Befoward. Kule juu ya link wakati unasach gari kwenye web ya befoward,kuna sehem ya spare parts,nimeangalia vitu vingi ni dola 40-150 tu.Kweli kabisa mi nimependa seat zake sio kama mabenchi ya Rav.4 CHAZA sasa XT nyingine haina pua mbinuko kwa bonnet ina maana hii turbo ipo au haipo, na inasemekana eti made in Singapore ndio bora kuliko made in Japan hebu msaada kidogo kabla ya kujilipuaView attachment 1209304View attachment 1209305View attachment 1209306View attachment 1209307View attachment 1209309View attachment 1209310View attachment 1209311View attachment 1209312View attachment 1209313
Kiukweli hata mimi sipendi kabisaaa 'mabenchi' ya Viti vya nyuma kwny Toyota nyingi.Yani mabenchi kabisa kama ya shule ya kata. Btw Rav 4 kilitime kurudi nyuma haziko comfortable nisamehe bure kwakweli. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Kiukweli hata mimi sipendi kabisaaa 'mabenchi' ya Viti vya nyuma kwny Toyota nyingi.
Duuuh yereuwiiiiNi kweli ....Rav 4 Kili time na Rav 4 Masawe hamna comfortability mle.....
Kuna mtu utamwambia spacio new model ipo comfortable kuliko hizi na atabisha. ....