PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Forester STI nyingi manual transmission pia zinakuwa CC 2390 gear 6Kwaiyo uwezo wa forester cross sport ni uleule wa forester STI?
Maana haya matoleo matatu yananchanganya na sielewi ipi konki kati ya forester XT, forester cross sport na forester STI japo kwa bei hizo STI ziko juu sana kuliko hizo nyingine.
Vipi kuhusu hii xt ya 2008 ambayo ni SH5Dah! ni swali kubwa sana coz ni magari mawili yanayofanana vitu vingi sana kwa upande wa engine kwenye body ndio kunatofauti...
mfano kwenye hayo magari yote kuna mabayo ni manual na Atomatic na pia kuna turbo..
labda tuu... cross sport zimeanzia 2005 hadi na 2008 kwa version ya SG
>>cross sport- ipo yenye turbo na non-turbo
Na xt zimeanza kuanzia 2002 na kuendelea na zina turbo zote ...
so kutokana na swali lako itategemea mapenzi yako yapo upande gani ingawa ikiwa nini nitachagua:-
Cross-sport ambayo ni SG9 STI-- Hapa utafurahia maisha
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1213648
Matoleo haya ni luxury Sana ingawa yana body kubwa lakini ukubwa wa engine ni mmoja yote ni EJ20 na CC1990 pia hata turbocharger ni 2.liter.Vipi kuhusu hii xt ya 2008 ambayo ni SH5
View attachment 1213908
STI ndio zipo vizuri kuliko zingine zote...Kwaiyo uwezo wa forester cross sport ni uleule wa forester STI?
Maana haya matoleo matatu yananchanganya na sielewi ipi konki kati ya forester XT, forester cross sport na forester STI japo kwa bei hizo STI ziko juu sana kuliko hizo nyingine.
Ni gari nzuri kwa mtazamo ingawa bado mpya so kwangu mimi naona sijawa na uzoefu nazo sitaweza kuzungumzia sana..Vipi kuhusu hii xt ya 2008 ambayo ni SH5
View attachment 1213908
Itakua na tatizoNineweka full tank lita 65 ajabu nimetembea km 350 mafuta kwishney leo nimejaza tena
Mweleze, mwenyewe nimetumia subaru mwaka wa kumi huu cjaona ulaji huo. Mambo mawili yanaweza changia ulaji mbaya wa mafuta. Service hasa upande wa air cleaner element na uendeshaji mbaya (rough driving)Nimetumia subaru forester kwa zaidi ya miaka 12 sijawahi kuona ulaji huu something wrong with your fuel system
Mzee wa Carina hii ina 1510kgMatoleo haya ni luxury Sana ingawa yana body kubwa lakini ukubwa wa engine ni mmoja yote ni EJ20 na CC1990 pia hata turbocharger ni 2.liter.
Cha kushangaza Yale matoleo ya chini yake Yana uzito Mkubwa tofauti na haya mabox mara nyingi utakuta Yana kg 1400-1470 lakini matoleo ya nyuma uzito wake ni 1450-1500
Mkuu huku Kwenye carina nimekaa Sana inabidi hata na Mimi nitoke sasa maana kuna vitu vingi nakosa Kwenye gari yanguMzee wa Carina hii ina 1510kg
Ndio nataka nijilipue nalo
Hivi ni tsh ngapi gari hii Daihatsu terios Kid, Mungu akinijaalia na mimi nataka nimiliki hako ka Daihatsu terios KidAisee kile ki terious kid kina 650cc lakini naskia kina bugia hatari
Nafaham mzee,bado unataka kujilipua na crown?Mkuu huku Kwenye carina nimekaa Sana inabidi hata na Mimi nitoke sasa maana kuna vitu vingi nakosa Kwenye gari yangu
Huyo mnyama naona nitachukua muda mrefu pengine kama maisha yakituliaNafaham mzee,bado unataka kujilipua na crown?
Kweli kabisa mi nimependa seat zake sio kama mabenchi ya Rav.4 CHAZA sasa XT nyingine haina pua mbinuko kwa bonnet ina maana hii turbo ipo au haipo, na inasemekana eti made in Singapore ndio bora kuliko made in Japan hebu msaada kidogo kabla ya kujilipuaView attachment 1209304View attachment 1209305View attachment 1209306View attachment 1209307View attachment 1209309View attachment 1209310View attachment 1209311View attachment 1209312View attachment 1209313
Ya mwaka 2002 kuanzia milioni 9 kamili unaikamata nje ya nyumba yako.Hivi ni tsh ngapi gari hii Daihatsu terios Kid, Mungu akinijaalia na mimi nataka nimiliki hako ka Daihatsu terios Kid
Jamaa unachekesha weweNiwakumbushe tu.. #STI si vuzi... naona mnaitaja kama mnataja maharage
Mbona sio kawaida appr 11km per litreIST FWD 2003 CC 1290 nilitoka Dar hadi Shinyanga 990+ kilometres kwa lita 90 tu full AC safari nzima
Hahah sahihi kabisaa.Niwakumbushe tu.. #STI si vuzi... naona mnaitaja kama mnataja maharage