Nineweka full tank lita 65 ajabu nimetembea km 350 mafuta kwishney leo nimejaza tena
Aaah kumbe kwenye long safari haili mafuta sana eeh!?kaka kuna gari za watumiaji wa kipato kidogo na kipato kikubwa,ni kama kama huna biashara za safari ndefu za mara kwa mara unanunua prado v8 huku maisha yenyewe ni ya kuungaunga,utailaumu gari kumbe kosa ni lako kutokufanya uchunguzi mapema.Gari yako hiyo hiyo ipige long safari uone kama hujaifurahia kama wewe ni dereva lkn.
.
Wenzio tunawekamo engine za corolla. Engine hiyo tupia mbwa wale.
Ss si ungenunua corolla tu ujue moja? Km unataka mwendo subaru its a right car! Ukiona unaangalia geji nunua bodaboda.....Wenzio tunawekamo engine za corolla. Engine hiyo tupia mbwa wale.
kaka kuna gari za watumiaji wa kipato kidogo na kipato kikubwa,ni kama kama huna biashara za safari ndefu za mara kwa mara unanunua prado v8 huku maisha yenyewe ni ya kuungaunga,utailaumu gari kumbe kosa ni lako kutokufanya uchunguzi mapema.Gari yako hiyo hiyo ipige long safari uone kama hujaifurahia kama wewe ni dereva lkn.
.
Duh maswali mengine ni mepesi sana kujibu...
Ndugu hiyo sio saizi yako acha kujikweza,
Ni sawa na kununua simu wakati huna uwezo wa vocha
kaka kuna gari za watumiaji wa kipato kidogo na kipato kikubwa,ni kama kama huna biashara za safari ndefu za mara kwa mara unanunua prado v8 huku maisha yenyewe ni ya kuungaunga,utailaumu gari kumbe kosa ni lako kutokufanya uchunguzi mapema.Gari yako hiyo hiyo ipige long safari uone kama hujaifurahia kama wewe ni dereva lkn.
.[/QUOTE
Ushauri nzuri, japo maisha ni kujipanga na kuchagua lazima pia uzingatie future yako. uza hiyo gari nunua size yako mkuu.
Mkuu hii gari ime evolve kutokana na gari za sports za Subaru. Ni gari ngumu mno kuharibika ingawaje kweli vipuri vyake ni ghali sana.Hapo ni kwenye wese,just wait spare zianze kuchoka
Hiyo gari ulinunuliwa na sugar mami nini? Kama ulinunua kwa akili yako timamu basi na wewe ikomalie tu kwa kuinyima mafuta.Nineweka full tank lita 65 ajabu nimetembea km 350 mafuta kwishney leo nimejaza tena
Nineweka full tank lita 65 ajabu nimetembea km 350 mafuta kwishney leo nimejaza tena
Shemeji yenu kaninunia kisa anataka Hii Subaru.We unanunua perfomance car kwa ajili ya kwendea kazini halafu unamlaumu "SUBARU" atakufilisi? Subaru ni mashine za kweli kwa waendao mbio, zina nguvu ya kutosha hata kwa base grade bila upgrade zozote, kama wewe uliona vijana wa arusha na wenye asili ya kihindi na kiarabu wakiendesha Subaru ukapenda Mlio jaribu ujipange upya, uza Subaru ununue IST. Btw, ni Subaru gani hiyo? Wateja wako wengi tu, ukitaka kuiuza faster ingia Subaru Fans of Tanzaia.