Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,288
- 791
Nineweka full tank lita 65 ajabu nimetembea km 350 mafuta kwishney leo nimejaza tena
We unanunua perfomance car kwa ajili ya kwendea kazini halafu unamlaumu "SUBARU" atakufilisi? Subaru ni mashine za kweli kwa waendao mbio, zina nguvu ya kutosha hata kwa base grade bila upgrade zozote, kama wewe uliona vijana wa arusha na wenye asili ya kihindi na kiarabu wakiendesha Subaru ukapenda Mlio jaribu ujipange upya, uza Subaru ununue IST. Btw, ni Subaru gani hiyo? Wateja wako wengi tu, ukitaka kuiuza faster ingia Subaru Fans of Tanzaia.