TimeOut
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 3,894
- 8,454
Hazijawahi feli kabisa na zinakubali modification nyingi kuliko gari nyingi sio kwenye bodykit wala engineSubaru ina perdormance nzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hazijawahi feli kabisa na zinakubali modification nyingi kuliko gari nyingi sio kwenye bodykit wala engineSubaru ina perdormance nzuri sana
Aisee sasa hapa inategemea na aina ya barabara, Sehemu zingine Offroad unakutana na tope na utelezi mzito na kwingine Mawe mawe kama Oljoro kule. Sasa sijui ww unataka kuizamisha wapi.
Kama unataka gari za Shamba tafuta Pick up mkuu kwa ushauri wangu tu. Hakuna gari ya Shamba kati ya hzo hapo juu.
Mijini na miji midogo yote utatembea lkn ukisema unataka kuzama Kigoma, mara Arusha kwenye makorongo achana nayo utakufa na presha Mil 30+ ni pesa mingi kuchezea mkuu.
Ushauri wangu tu mkuu.
Hazijawahi feli kabisa na zinakubali modification nyingi kuliko gari nyingi sio kwenye bodykit wala engine
Kati ya hii forester 2014 au bmw x3 2012 unasimama wapi, japo bmw bei ipo juu kidogo?Mimi SUBARU FORESTER kama hii nilichukua Mil 40+ gari inakupa stability ya hali ya juu, haiondoki barabarani kizembe, speed, afu laini ile mbaya.
Chukua Subaru forester XT hizi kubwa zinafanana na Kluger na VanguardView attachment 2465889
watu wna dharau asee 😂Izo ni gari ndogo? 🤣🤣
nauhakika iyo subaru kwa vaguard ana kaaa
Subaru anakaa kwa van guard 😀😀nauhakika iyo subaru kwa vaguard ana kaaa
ikisikia subaru unaogoba van sio ya kisport sport ivoSubaru anakaa kwa van guard 😀😀
Engine ya van guard unazijua?ikisikia subaru unaogoba van sio ya kisport sport ivo
Engine ya van guard unazijua?ikisikia subaru unaogoba van sio ya kisport sport ivo
sizijui ebu nambieEngine ya van guard unazijua?
kuna watu wanazo za majini yenye 350c wacha iz0 240Van guard nyingi za bongo ni 2Az 170 HP...
Hp 280..hizo ndio tamu sasa2FE HP280
Ni 2GR-FSE hio mzee inafua 280HP with 5-Speed ECT enough kuimeza subaru mapema sana.2FE HP280
Kwahiyo 2AZ anamezwa mapema sana na Crown, Brevis, Mark X na wenzake?Ni 2GR-FSE hio mzee inafua 280HP with 5-Speed ECT enough kuimeza subaru mapema sana.
Kwa ile ya 2AZ pia inafua 170HP with 7-Speed CVT ambayo ni nyepesi sana kukamata mwendo mkali bila kuremba. Subaru non turbo lazma apotezwe na gear zake 4!
Eeh 2AZ anamezwa sababu kutoka 130 kwenda 180 yuko slow. Mark X, Crown na Brevis hawapoi 0-180 ni chapKwahiyo 2AZ anamezwa mapema sana na Crown, Brevis, Mark X na wenzake?
Itoe kluger hapo kwenye listHizo gari ni ndogo ndiyo!!! Ukizungumzia gari kubwa orodha yake ni pamoja na Nissan Patrol, Kluger, Isuzu Trooper, Land cruser nk