Submeter za Kijanja hakuna kushea umeme tena

Submeter za Kijanja hakuna kushea umeme tena

Zile Hazitumiki Tena Hii ndio Submeter ya Kisasa. Ukifunga Hii inatosha. Bei yake 150,000. Kwa mojá.
Ukinunua Kuanzia mbili Unapunguziwa Bei.
 
Zile Hazitumiki Tena Hii ndio Submeter ya Kisasa. Ukifunga Hii inatosha. Bei yake 150,000. Kwa mojá.
Ukinunua Kuanzia mbili Unapunguziwa Bei.
Wewe si ueleze kikamilifu ili watu tujue? Umeulizwa maswali ya muhimu hukujibu. Mfano unaifunga baada ya mita ya Tanesco, je, umeme unaununua kwa kutumia mita namba ipi?
 
Baáda ya Meter ya Jumla.
HAPA NDIPO CHANGAKOTO

MKUU
WALIKUJA JAMAA WAKAJJTANGAZA HAPA NIKAWALETA KWANGU INGAWA NILIWAPA 20000 YA USUMBUFU....WALIELEZA VIZURI SANA MHUSIKA ANATUMIA KAMA YEYE NKASEMA VIPI KWENYE MAIN HAMNA MZIGO AKAJIBU KULE LAZIMA WANAOTUMIA WAWE WAMEWEKA MZIGO...ELSE IKISOMA 0 KWAKO INA UNITS KADHAA AMNA KITU

KAMA N TOFAUTI NA HII. NAELEZA NIPE MAELEZO MKUU
 
SHIDA IKAJA WALEWAMAIN WAMENYIMANA UNYUMBA TUNAFANYAJE?? AKUNA KUNUNUA UMEME S SHIDA
 
Umeme Utanunua kwa kutumia mita ya Tanesco kisha unaingiza kwenye mita ya Tanesco kwanzá. Halafu ndio unagawa umeme Huo kwa kila Submeter kwa kutumia App maalumu utakayopewa. Kama nyuma yako ina Vyumba kumi na kila chumba umefunga Submeter, halafu mkanunua umeme Wa Laki moja. Kila mmoja atagaiwa umeme Wa Shilingi 10000. Yáani Unit 28 kila mmoja. Na kila mmoja umeme wake ukiisha kwenye Submeter yake utazima kwake tu wengine wataendelea kutumia. Bei ya kila Submeter ni sh-150,000. Pamoja na kufungiwa Kabisa. Hapo Utanunua Wa tu kwa Ajili ya muonganiko. Kuanzia Tatu Bei Unapunguziwa. ASANTE
 
Unataka kuuziwa bei gani?
HUJANIELEWA BEI IKO POA NIMESEMA NANILE NILITAKA KUNUNUA BEI N KAMA HII 150 000 TUKASHINDWANA TU UMEME UMEISHA KWENYE MAIN..KIDUDE CHA MTU KINASOMA UNIT..UTAWAKA AKAWAMUWAZI NO...NIKAWAPA YA USIMBUFU

BEI IKOPOA NA MM MZARAMO UKIANZA ANA 150K NASOMA SURATI LEGEZA NIKIKUSHIKA MKONO KWA SALAMY HATA 125 TUNAFIKA...
 
Umeme Utanunua kwa kutumia mita ya Tanesco kisha unaingiza kwenye mita ya Tanesco kwanzá. Halafu ndio unagawa umeme Huo kwa kila Submeter kwa kutumia App maalumu utakayopewa. Kama nyuma yako ina Vyumba kumi na kila chumba umefunga Submeter, halafu mkanunua umeme Wa Laki moja. Kila mmoja atagaiwa umeme Wa Shilingi 10000. Yáani Unit 28 kila mmoja. Na kila mmoja umeme wake ukiisha kwenye Submeter yake utazima kwake tu wengine wataendelea kutumia. Bei ya kila Submeter ni sh-150,000. Pamoja na kufungiwa Kabisa. Hapo Utanunua Wa tu kwa Ajili ya muonganiko. Kuanzia Tatu Bei Unapunguziwa. ASANTE
Mfano ndio umeisha kote na wewe unit zako bado ndio swali linakuja utaendelea kuwaka????
 
HAPA NDIPO CHANGAKOTO

MKUU
WALIKUJA JAMAA WAKAJJTANGAZA HAPA NIKAWALETA KWANGU INGAWA NILIWAPA 20000 YA USUMBUFU....WALIELEZA VIZURI SANA MHUSIKA ANATUMIA KAMA YEYE NKASEMA VIPI KWENYE MAIN HAMNA MZIGO AKAJIBU KULE LAZIMA WANAOTUMIA WAWE WAMEWEKA MZIGO...ELSE IKISOMA 0 KWAKO INA UNITS KADHAA AMNA KITU

KAMA N TOFAUTI NA HII. NAELEZA NIPE MAELEZO MKUU
Kwanzá Pölé Sana. Iko Hivi ukitaka kutumia hizi Submeter inatakiwa kila Chumba au Fremu uwe umefunga Submeter. Mita ya Tanesco inatakiwa Isitumike na mtu Yeyote kama hana Submeter. Kwa sababu Akitumia Bila Submeter Atamaliza Umeme wake Ataanza kutumia na wawenzake. Hivyo kila mmoja anapaswa awé na Submeter...
 
Kwanzá Pölé Sana. Iko Hivi ukitaka kutumia hizi Submeter inatakiwa kila Chumba au Fremu uwe umefunga Submeter. Mita ya Tanesco inatakiwa Isitumike na mtu Yeyote kama hana Submeter. Kwa sababu Akitumia Bila Submeter Atamaliza Umeme wake Ataanza kutumia na wawenzake. Hivyo kila mmoja anapaswa awé na Submeter...
KAMA UNA UHAKIKA NAHILI NJOOMINBOX NAKAABLA YAMALIPO NAHAKIKISHÀ KUNA 0 MAIN MTR HUKUKWINGINE TUNAJAZIA SUMTR ŹIKIWAKA MKUU TUNAITANA TENA
USUMBUFU HAITAKUWEPONIKIGOMA KUWAKA
 
K
Kwanzá Pölé Sana. Iko Hivi ukitaka kutumia hizi Submeter inatakiwa kila Chumba au Fremu uwe umefunga Submeter. Mita ya Tanesco inatakiwa Isitumike na mtu Yeyote kama hana Submeter. Kwa sababu Akitumia Bila Submeter Atamaliza Umeme wake Ataanza kutumia na wawenzake. Hivyo kila mmoja anapaswa awé na Submeter...
Kumbe
 
Mfano ndio umeisha kote na wewe unit zako bado ndio swali linakuja utaendelea kuwaka????
Ndio kwa kwako utaendelea kuwaka.
KAMA UNA UHAKIKA NAHILI NJOOMINBOX NAKAABLA YAMALIPO NAHAKIKISHÀ KUNA 0 MAIN MTR HUKUKWINGINE TUNAJAZIA SUMTR ŹIKIWAKA MKUU TUNAITANA TENA
USUMBUFU HAITAKUWEPONIKIGOMA KUWAKA
Ndugu Yangu Soma Post zangu zilizopita.... Kwanzá hakikisha kila chumba chenye matumizi ya Umeme unafunga Submeter. Kwanza unaanza kuweka Umeme kwenye Main Meter/Luku. Kisha ndio unagawa Unit kwenye kila chumbá ulichofunga Submeter kwa kutumia App maalumu utakayopewa.
 
Back
Top Bottom