Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Amani iwe kwenu wakuu
Kwani Sudan wana kosa walilokosea dunian hapa
Wanachinjana kila siku tena maelf kwa mamia lakin husikii ostaz au padre akiwazungumzia, wala huwezi Kuta mwafirika au mzungu anawazungumzia
Je walikosea nini hawa watu? Hawana ndugu?
Mbona Kongo ikiguswa kidogo tu kila mtu analalamika kama nini yaan, Dunia nzima inalalamika yaan
Mbona parestina ikiguswa kidogo kila watu wanalalimka si padre au ostaz
Mbona Israel ikiguswa kidogo tu Dunia nzima inalalamika
Sudan walikosea nini watu mbona wameachwa wafe kivyao?
God bless Israel
SAYUNI BOY
Kwani Sudan wana kosa walilokosea dunian hapa
Wanachinjana kila siku tena maelf kwa mamia lakin husikii ostaz au padre akiwazungumzia, wala huwezi Kuta mwafirika au mzungu anawazungumzia
Je walikosea nini hawa watu? Hawana ndugu?
Mbona Kongo ikiguswa kidogo tu kila mtu analalamika kama nini yaan, Dunia nzima inalalamika yaan
Mbona parestina ikiguswa kidogo kila watu wanalalimka si padre au ostaz
Mbona Israel ikiguswa kidogo tu Dunia nzima inalalamika
Sudan walikosea nini watu mbona wameachwa wafe kivyao?
God bless Israel
SAYUNI BOY