Sudan hawana ndugu? Waliwakosea nini watu si waislam au WA Africa

Sudan hawana ndugu? Waliwakosea nini watu si waislam au WA Africa

Amani iwe kwenu wakuu

Kwani Sudan wana kosa walilokosea dunian hapa

Wanachinjana kila siku tena maelf kwa mamia lakin husikii ostaz au padre akiwazungumzia, wala huwezi Kuta mwafirika au mzungu anawazungumzia

Je walikosea nini hawa watu? Hawana ndugu?

Mbona Kongo ikiguswa kidogo tu kila mtu analalamika kama nini yaan, Dunia nzima inalalamika yaan

Mbona parestina ikiguswa kidogo kila watu wanalalimka si padre au ostaz

Mbona Israel ikiguswa kidogo tu Dunia nzima inalalamika

Sudan walikosea nini watu mbona wameachwa wafe kivyao?

God bless Israel

SAYUNI BOY
Kwakuwa wao ni ujinga wao wanauwana wao kwa wao kwanini wasikubaliane CONGO inaingiliwa na Rwanda also IRAEL VS PALESTINA, URUSI VS UKRAINE ila ndugu kwa ndugu achana nawo
 
Amani iwe kwenu wakuu

Kwani Sudan wana kosa walilokosea dunian hapa

Wanachinjana kila siku tena maelf kwa mamia lakin husikii ostaz au padre akiwazungumzia, wala huwezi Kuta mwafirika au mzungu anawazungumzia

Je walikosea nini hawa watu? Hawana ndugu?

Mbona Kongo ikiguswa kidogo tu kila mtu analalamika kama nini yaan, Dunia nzima inalalamika yaan

Mbona parestina ikiguswa kidogo kila watu wanalalimka si padre au ostaz

Mbona Israel ikiguswa kidogo tu Dunia nzima inalalamika

Sudan walikosea nini watu mbona wameachwa wafe kivyao?

God bless Israel

SAYUNI BOY
Wamezid hao ,
 
imetokana na ugomvi binafsi wa Watu wawili tu kwa Udikteta wao wa kutaka madaraka.

Ilianza udini, nchi kubwa ya Sudan ikagawanyika vipande, na kuzaa nchi mbili moja kongwe kipande Sudan na mpya ya South Sudan .

Laana ya ubaguzi wowote wa kikabila kidini, kimapato, kundi la walio nacho na wasionacho, nasaba n.k haiishii hapo, sasa kuna mmoja anajiona mwarabu zaidi kuliko mwenzie mlugaluga mwarabu hivyo wanazichapa tena.

Wakimalizana lazima tukio jingine litajijenga (manifestation), wataaendelea kuzua mgogoro wa aina nyingine.

Bara la Afrika wanaonea huruma na kufuatilia mambo ya Ukraine, Jerusalem, Madina, Roma, Gaza, Marekani na Ulaya.

Mambo ya bara hili la Afrika ya DR Congo, Burundi, Sudan, Mali, Mauritania hatuyafuatilii kwa ukubwa ule ule kwa kuwa hatuoneani huruma wale wanaofanana nasi kwa rangi umasikini, maradhi na ujinga.
 
Back
Top Bottom