Sudan Kusini itabadili muda kwa saa 1 kwa kuhama ‘time zone’

Sudan Kusini itabadili muda kwa saa 1 kwa kuhama ‘time zone’

Jamanie, inaitwa time zone, maana ya neno zone ni eneo pana, hakuna mstari mwembamba kama tunavyotaka kuamini kuwa tuko 45 degrees , mfano, kigoma ukiangalia mapambazuko na machweo yake utagundua wanastahili kukaa zone moja na burundi.
Tungekuwa dunia ya kwanza Kigoma kama kigoma ingekua na saa zake na bado iko tz tuu
 
Hata mimi naona inabidi iingatie Jiografia ila China walifanya hivyo kwakuwa ilikuwa ianleta mkanyiko wakaamua basi sehemu zote zitakuwa na muda sawa na Beijing
Cha kuwa sawa ndio nilichojifunza.

Ambapo kila degree 15 lisaa linabadilika ama kuwa mbele au nyuma.

Hapo ndio nikajifunza kuwa Afrika Mashariki tupo nyuzi 45 Mashariki ya Greenwich ambayo imepitia miji ya Accra, Ghana na London, UK.

Sehemu iliyo mashariki mwa Greenwich muda wake utatangulia ukilinganisha na sehemu iliyo magharibi mwa Greenwich.

Pia pakawepo mstari wa tarehe wa kimataifa ukapewa jila la Mstarihi(wenye nyuzi 180°, hapa ndio tarehe zinaanzia kuhesabiwa)

Somo likaendelea, ikasemekana mtu akivuka mstarihi kutoka mashariki kwenda magharibi, anarudia siku(yaani ukitoka Mashariki siku ya Alhamisi, ukavuka mstarihi kuelekea upande wa magharibi, unakuwa upo siku ya Jumatano) na kinyume chake ni sawa.

Sasa sehemu zote zilizopo kwenye nyuzi fulani moja(mathalani 15°) kijiografia lakini zikawa kwenye Latitude tofauti zitakuwa na muda muda mmoja(sawa)
 
Kinachotufanya tuwe 45degrees ni nini? Msaada jamani maana coordinates zetu ni 34° 53' 32.94" E
 
Cha kuwa sawa ndio nilichojifunza.

Ambapo kila degree 15 lisaa linabadilika ama kuwa mbele au nyuma.

Hapo ndio nikajifunza kuwa Afrika Mashariki tupo nyuzi 45 Mashariki ya Greenwich ambayo imepitia miji ya Accra, Ghana na London, UK.

Sehemu iliyo mashariki mwa Greenwich muda wake utatangulia ukilinganisha na sehemu iliyo magharibi mwa Greenwich.

Pia pakawepo mstari wa tarehe wa kimataifa ukapewa jila la Mstarihi(wenye nyuzi 180°, hapa ndio tarehe zinaanzia kuhesabiwa)

Somo likaendelea, ikasemekana mtu akivuka mstarihi kutoka mashariki kwenda magharibi, anarudia siku(yaani ukitoka Mashariki siku ya Alhamisi, ukavuka mstarihi kuelekea upande wa magharibi, unakuwa upo siku ya Jumatano) na kinyume chake ni sawa.

Sasa sehemu zote zilizopo kwenye nyuzi fulani moja(mathalani 15°) kijiografia lakini zikawa kwenye Latitude tofauti zitakuwa na muda muda mmoja(sawa)
Umejifunza Africa mashariki jifunze Tanzania sasa[emoji16]
 
Cha kuwa sawa ndio nilichojifunza.

Ambapo kila degree 15 lisaa linabadilika ama kuwa mbele au nyuma.

Hapo ndio nikajifunza kuwa Afrika Mashariki tupo nyuzi 45 Mashariki ya Greenwich ambayo imepitia miji ya Accra, Ghana na London, UK.

Sehemu iliyo mashariki mwa Greenwich muda wake utatangulia ukilinganisha na sehemu iliyo magharibi mwa Greenwich.

Pia pakawepo mstari wa tarehe wa kimataifa ukapewa jila la Mstarihi(wenye nyuzi 180°, hapa ndio tarehe zinaanzia kuhesabiwa)

Somo likaendelea, ikasemekana mtu akivuka mstarihi kutoka mashariki kwenda magharibi, anarudia siku(yaani ukitoka Mashariki siku ya Alhamisi, ukavuka mstarihi kuelekea upande wa magharibi, unakuwa upo siku ya Jumatano) na kinyume chake ni sawa.

Sasa sehemu zote zilizopo kwenye nyuzi fulani moja(mathalani 15°) kijiografia lakini zikawa kwenye Latitude tofauti zitakuwa na muda muda mmoja(sawa)
Je, kuna nchi inaweza kukaa kwenye mstari mmoja tu? Mathalani Tanzania 45 degrees?[emoji848]
 
N
Sudan Kusini imepanga kubadili muda kuanzia Februari 1 ambapo itakuwa saa moja nyuma ya saa za Afrika Mashariki

Wanarudi kwenye ukanda wa muda wa UTC +2 ambapo kwa sasa wapo UTC +3. Katibu wa Kazi Hillary Wani Pitia amesema kijiografia UTC +2 ndio sahihi kwa Sudan Kusini.

Nchi inaweza kuseti muda wake kutokana na sababu za kisiasa ili kufanana na majirani zake. Sudan Kusini watafanana muda na DR Congo, Rwanda, Burundi, Afrika Kusini na Misri.

Mabadiliko ya Muda yamepitishwa na Baraza la Mawaziri wiki mbili zilizopita, japo raia walikosoa hatua hiyo kwenye mitandao ya kijamii.
===
South Sudan plans to reset its clock, moving back one hour on February 1.

The change, which moves the country an hour behind its key trading partners Uganda and Kenya, is meant to align it to the time zone based on its geographical location.

“The National Ministry of Labour informs all the civil service institutions, commissions, diplomatic missions, UN agencies, international/non-governmental organisations and the public at large that South Sudan has changed its official time from UTC +3 to UTC +2, which is based on South Sudan’s real location on the globe,” the Labour undersecretary Mary Hillary Wani Pitia said in statement on Friday.

The Coordinated Universal Time (UTC) is a time standard by which the world regulates clocks and time. It is often interchanged with Greenwich Mean Time (GMT), but while there is no time difference between UTC and GMT, the latter is a time zone used in some European and African countries.

The dateline – an imaginary longitude 180o that runs from pole to pole – zig zags east and west to accommodate the needs and demands of countries along its route. Most countries use hourly offsets from GMT.

Countries can, however, set their own time for political reasons or to keep the same time zone with border countries.

The switch by South Sudan will see it move from the East African time zone (GMT +3) – observed by Uganda, Kenya, Ethiopia, Tanzania, Somalia, Eritrea, and Djibouti – to the Central African time zone (GMT +2).

Some of the countries in this time zone include Sudan, eastern Democratic Republic of Congo, Rwanda, Burundi, South Africa and Egypt.

“The current time will be set back by one hour, meaning 1:00 am will be reset to 00:00 am effective from 1st February 2021,” said Ms Pitia.

The change was approved by South Sudan’s Cabinet two weeks ago but came under heavy criticism by citizens on social media.

The government spokesperson, Michael Makuei Lueth, said the country has not been using its real time.
Nchi yenye utajiri wa mafuta badala ya kuweka mikakati ya kujiondoa kwenye umasikini uliokithiri inaangalia mambo ya time zone ni kupoteza muda tu
 
Mkuu unaonaje tufikishe huu mswaada kwenye bunge waujadili tu modify kalenda tuwe tunamaliza mwaka mapema kwa kupunguza siku na miezi..?
Kupunguza siku na miezi? Inamaana kama mungu anakuhesabia miaka 35 unakua umepunguziwa miezi
 
Je, kuna nchi inaweza kukaa kwenye mstari mmoja tu? Mathalani Tanzania 45 degrees?[emoji848]
Inategemeana na ukubwa wa nchi kijiografia.

Sina uhakika kama Tanzania degree 45 pekee
 
Maswali ya Jiografia kutafuta muda sasa hayana maana kule shule za msingi.

Hata hivyo, ukiwa baadhi ya maeneo ya Karagwe mkoa wa Kagera unatumia muda wa Rwanda kwa maana ya Africa Magharibi.
Miaka ya nyuma kidogo(sijui sasa) baadhi ya mitandao walikuwa wanakutumia ujumbe kukutakia maisha mema (..… Tanzania wishes you a pleasant stay in Rwanda).
 
The change, which moves the country an hour behind its key trading partners Uganda and Kenya, is meant to align it to the time zone based on its geographical location.


umeielewa iyo statement?
Ina maana ndio wanarudisha kwenye real time kulingana na globe position yake.

Hoja yangu ipo hivi.
Kwamba kumbe inawezekana watu wakajipangia tu muda wao kisiasa na sio kulingana na globe position kama hawa jamaa?
 
Yes even hapo kwa Biden state moja kwenda ingine wanatofautiana mpaka masaa 3
Kweli mfano Honolulu & Alaska muda wake unatofautiana sana na states zilizo Mashariki mwa US mfn. New York
 
Back
Top Bottom