Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unadhani Tanzania iliyopo Afrika Mashariki ina Longitude yake inayojitegemea?Umejifunza Africa mashariki jifunze Tanzania sasa[emoji16]
Dah!...Hata dar na Bukoba unatofautiana, ukiwa Bukoba saa 12 bado giza kabisa ila Dar tayari kumekucha, Halafu saa kumi na mbili jioni bado kuna mwanga wakati dar giza lishaanza nyemelea
Ndio...wako nyuma yetu kwa lisaa limoja nadhai hata kigoma na Bukoba ingebidii iwe hivyo.Ina maana Rwanda Burundi ziko tofauti na Tanzania?
Hakika, hata Kagera na Kigoma zilitakiwa kuwa muda sawa na Rwanda na Burundi.Ina maana Rwanda Burundi ziko tofauti na Tanzania?
NdioKumbe hii time zone ni kujiamulia tu.sio kulingana na mahali nchi imekaa kwenye latitude
Sio kila siku hali hiyo.Inatetegemeana na mzunguko wa dunia kulizunguka jua ambapo Jua miezi kadhaa linakuwa upande wa kaskazini mwa Latitude na miezi kadhaa kusinimwe.Kwa maana hiyo zipo siku Bukoba na Dar wanaweza kukaribiana sana kihali za mwangaza wakati wa magharibi na asubuhi.Hata dar na Bukoba unatofautiana, ukiwa Bukoba saa 12 bado giza kabisa ila Dar tayari kumekucha, Halafu saa kumi na mbili jioni bado kuna mwanga wakati dar giza lishaanza nyemelea
mi mwenyewe nimejikuta nashangaa kitu hicho hicho. ahsante JFKumbe hii time zone ni kujiamulia tu.sio kulingana na mahali nchi imekaa kwenye latitude
Mkuu hayo mambo mbona ni mitambo tu.Kumbe hii time zone ni kujiamulia tu.sio kulingana na mahali nchi imekaa kwenye latitude
Tena mwezi wa kwanza ndio uwe na wiki 2 tu.Kumbe tunaweza amua mwezi uwe na wiki 2 tu
Recently, Korea Kaskazini ilifanya hivyo pia kati ya 2015 au 2017. Tena sababu yake kubwa ni kutotaka kufanana na Marekani na washirika wake.Miaka fulani hapo nyuma niligundua hii kitu italy iliamua kurudi nyuma kimuda na yenyewe.
hahhahahaKumbe tunaweza amua mwezi uwe na wiki 2 tu
Yapu tena ukiwa mpkani hata na Burudni Saa ya Simu inabadilika aina zinakuwa mbiliIna maana Rwanda Burundi ziko tofauti na Tanzania?
We jamaa Greenwich ipo GHANA tangu lini?Basi muda wa Dar na Kigoma utofautiane kama muda wa jua kuchomoza au kuzama unavyotofautiana.
Nilichojifunza kuanzia Shule ya msingi(Maarifa ya Jamii) hadi Sekondari(Geography), saa zinatofautiana kwa kila 15°.
Kila sehemu iliyopo degree fulani, mathalani sisi(45°) muda wake utakuwa sawa, ndio maana jua linawahi kuchomoza Dar na kuchelewa Kigoma lakini muda ubaki ule ule Dar na kigoma(kama ni saa moja Dar, na kigoma ni hivyo hivyo hata kama bado giza Kigoma).
Ndivyo hivyo nilijifunza muda unapangwa kulingana na Longitude ya sehemu husika, ambapo Afrika Mashariki ipo Longitude 45° Mashariki mwa Longitude kuu(Greenwich, 0° iliyopo Ghana).
Sasa unapohoji nchi kuwa kwenye degree 45°, ebu nifafanulie wewe unahisi ipo kwenye degree ipi na ipi maana mimi nilijifunza ipo degree 45° ambapo ndio tunapohesabia masaa yetu(Kijografia, ingawa kisiasa nimeisikia leo)
Ipo wapi mkuu? huenda niliingizwa chaka na walimu wanguWe jamaa Greenwich ipo GHANA tangu lini?