Sudan Kusini itabadili muda kwa saa 1 kwa kuhama ‘time zone’

Ipo wapi mkuu? huenda niliingizwa chaka na walimu wangu
GMT au Prime Meridian Time inaanzia Greenwich, UK inakatiza Algeria, Burkina Faso, Mali, Ghana na St. Helena.

Roughly kuna mida (Time Zones) 25 ikitengwa kwa wastani wa saa 1, Kila baada ya kipeuo cha nyuzi 15 za longitudo unatokea muda mwingine (Time Zone).

China au Tanzania zilikuwa zinaweza kutenga muda kwa wastani wa 15, 30 au 45 dakika lakini zinatumia muda mmoja wa kitaifa. Mataifa kama Australia, Iran na India yametenga muda kwa kipeuo cha dakika 30 kikanda.

Nyakati za kiangazi (Summer Time) baadhi ya mataifa ubadili saa kwa kusogeza mbele, mfano;- Uingereza usogeza saa moja mbele alkadhalika Uswissi. Hii hufahamika vyema kama 'Daylight Saving Time'.

Katika mfumo wa kalenda na muda Prime Meridian Line ndio kipimo cha saa na siku, mstari huu unapita eneo la bahari ya Pasifiki. Ukiwa upande wa Magharibi utakuwa masaa 24 mbele ya wa Mashariki.

Ukisafiri kutoka Mashariki kwenda Magharibi unapoteza siku na kutoka Magharibi kwenda Mashariki unaongeza siku.
 
We jamaa Greenwich ipo GHANA tangu lini?
Njoo uone jibu hapa
 

kwa wale waliopitia Elimu ya Msingi na hata sekondari ya kawaida wataelewa vema na kwanini Sudan Kusini anataka kuhama
Hii Time Zone ipo current /live ukipoint Dsm itakuonesha ni usiku saa 2 Jumapili wakati ukigusa China itakuambia tayari (1:17) saa 7 usiku Jumatatu
 
Ipo wapi mkuu? huenda niliingizwa chaka na walimu wangu
humu ndani tupo tofauti sana, watu wana simu mpaka vitochi zina World clock inaonesha Time zone lkn hawajui ni nini kiko humu
akikujibu huyo member anayeulizia Accra Ghana ni TAG
 
Wanajipunguzia masaa ya kuteseka lakin mateso yapo palepale
 
African Magharibi!? au Africa ya kati?
 
Kwan na ss hatuwez kubadili maan si suala la kuamua tuu
 
Kwan na ss hatuwez kubadili maan si suala la kuamua tuu
Massawe sisi hatuwezi kujipangia hizo Meridian Greenwich Time zilipangwa huko London wakajipa nyuzi 0 na ndizo zinagawa dunia katika masaa 24 kwa kugawa mzunguko wa Dunia kuwa ni duara hivyo nyuzi360 hivyo ukigawa hapo utapata 15 ndio lisaa moja (360 / 24 = 15) sasa huwezi hamisha box lako la nyuzi hapa Tanzania ukajipachike la Bangladesh hizo zitakuwa ni saa za kichawi na hutaoana na wote hata Internrt au simu.
Hao sudan Kusini ni eneo dogo sana lililo ktk masaa ya Afrika ya Kati kwani Juba Makao makuu yapo ndani ya mstari wa Afrika Mashariki
ngoja kina @Mwifwa watajafafanua zaidi kwanini ni makosa kujihamisha nyuzi na kujipachika unavyotaka labda zikaribiane
 
Kumbe hii time zone ni kujiamulia tu.sio kulingana na mahali nchi imekaa kwenye latitude
Mkuu kikiboxer kinachoamua time zone ya mahali ni Longitude na SIO Latitude ya mahali husika. Mfano Sehemu kubwa ya Tanzania IPO Longitude 45° East ingawa sehemu kama Kigoma ingaliweza kutambulika kuwa Longitude 30° East (SAA moja nyuma) kama ilivyo Burundi, Rwanda na South Sudan.

Ahsante
 
Inasaidia nini sasa?
ndyo inayotengeneza Dakika, Saa, siku, mwezi, mwaka
na usingeweza kupost Jamii forum kujua ni lini ulijiunga, ulituma hilo swali
inaweza kudetermine una umri wa miaka mingapi tangu tarehe ya kuzaliwa na lini ulikufa tukaweka kumbukumbu kwa watoto na vizazi
 
Haa kwetu Kigoma na Tanga kuwaweka saa moja +3 ni kuwaonea
 
KWahiyo wale waliozaliwa muda mchache kabla ya haya mabadiriko wana rekodi vipi umri wao? Anyway, tukubaliane kwamba haina impact yeyote kiuchumi either wa taifa, mtu mmoja mmoja etc. Ni wana siasa tu wamekosa cha kujadiri au cha kukifanyia mabadiriko then wameona waingine kwenye hilo la saa
 
hii kitu si ya leo kabisa na hakuna aliye hai
bila mabadiliko haya ya kuigawa Dunia ( Google greenwich meridian - Пошук Google)
kusingekuwa na mawasiliano haya wala tarehe, kwa hiyo sio wanasiasa
Km ni Sudan Kusini basi kuna siasa hapo maana mstari wa Longtude umemega eneo dogo tuwaache walidai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…