Hahahahah mkuu unaishia kuappreciate uumbaji wa Mungumm ndo sipendi mtu kabisa ata iwe pisi kali kiasi gani ntaishia ku appreciate , JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala, and off i go! Sijui nina shida gani jaman
Naelewa, inaweza isiwe tamaa na isiwe upendo wa kweliAhsante kwa kunielewa Joanah. It happens sometimes. Na haitokei kwa sababu ya tamaa hata kudogo.
last
lust?
Yeah.
Nawapenda akina mama. Angekuwa me hapo ubishi sasa. Na matusi juu!
Hello Ladies & gentlemen, hope all is well with you.
Bila kupoteza muda naombeni kujua ni kwa nini mtu hupoteza upendo na hisia kwa haraka sana mara tu baada ya kufanya mapenzi.
Nimekuwa nikisumbuliwa na hili tatizo kwa muda mrefu sana kwamba huwa napenda sana kwa muda mfupi na kabla ya kufanya mapenzi na nimpendaye unakuta naonesha mapenzi yote ila baada ya muingiliano wa kimwili unakuta napoteza upendo, hisia na kila kitu juu yake physically, emotionally & spiritually.
Karibuni kwa michango.
Ahsanteni.
Nami nilikuwa ivoivo japo mi ni mwanamke,ila kwa bahati mbaya Siku nimempata ninayempenda kweli kumbe nae mpitaji....nami nikazinguliwa ivo no formulaNipe suluhisho basi ili niondokane na hii hali na niwe napenda.
Hahahahahahhah.
Hiki ni kitu kipya kwangu mkuu.
Nifanyeje sasa mkuu?