Bro! the same here, niku-appreciate tuu.Miimi ndo sipendi mtu kabisa ata iwe pisi kali kiasi gani ntaishia ku appreciate , JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala, and off i go! Sijui nina shida gani jaman
Hivi huo msemo maana yake hua nini? Naomba unielewesheNazan hujapata anayofinyia kwa ndan ukipata wa hivyo hutojuta amin nakwambia.
Hata mimi nipogi hivyo na sijajua nikwaniniHello Ladies & gentlemen, hope all is well with you.
Bila kupoteza muda naombeni kujua ni kwa nini mtu hupoteza upendo na hisia kwa haraka sana mara tu baada ya kufanya mapenzi.
Nimekuwa nikisumbuliwa na hili tatizo kwa muda mrefu sana kwamba huwa napenda sana kwa muda mfupi na kabla ya kufanya mapenzi na nimpendaye unakuta naonesha mapenzi yote ila baada ya muingiliano wa kimwili unakuta napoteza upendo, hisia na kila kitu juu yake physically, emotionally & spiritually.
Karibuni kwa michango.
Ahsanteni.
Hapana napinga hojaBado unakua..
Ni hatua Tu za ukuaji .
Itakiwa unaangalia pesa na mahitaji ya muhimu.. na si mapenzi /up3ndoHata mimi nipogi hivyo na sijajua nikwanini
Ulivyovisema hata sivijui mkuu.Punguza kuangalia Hollywood/Netflix whatever these niggas be watchin nowdays..
Inawezekena kupitia movies /life style yako ..ubongo wako psychologically unaanza kubadilika ..
Muda simrefu utakuwa Gay na utavutiwa /kupenda same Gender