Unga wa Uganda ni mzuri sana, kuanzia texture yake ni laini sana, packaging yake pia una ladha kama ya sembe ile ya kuloeka.uganda wana mahindi mazuri kweli? ugali wa malawi mtamu sio mzuri au wa zambia yaani unaweza kula debe
ok nitajaribu na wewe jaribu kitu cha zambia unipe mrejeshoUnga wa Uganda ni mzuri sana, kuanzia texture yake ni laini sana, packaging yake pia una ladha kama ya sembe ile ya kuloeka.
wakati mwingine kuna kaukweli,ila ikiendelea hivo weka unga wa dona kwa chini kabla hujamimina maji,utanipa mrejesho by senior bachelorJamani, nimejaribu mara kadhaa kupika ugali kwa kutumia sufuria mpya, mara zote ninatoa ugali wa ajabu, na mimi ni mzoefu wa kupika ugali. Nikishapikia chakula kingine na kupikia tena ugali sufia ili, mambo yanakuwa mswano. Kuna aliyekumbana na hili?
Kumbe na bibi alikwambia, basi kuna ukweli.
Nimeazima kwa jirani... Kweli haiivishiJaribu utupe mrejesho.
Kwahiyo pumba zinaiva kwenye sufuria iliyotumika tu?
NdioHata kwa sufuria mpya?
Hiyo wamechakachuwa material transmision of heat is poor. Bola ifunge tu au pikia chaiJamani, nimejaribu mara kadhaa kupika ugali kwa kutumia sufuria mpya, mara zote ninatoa ugali wa ajabu, na mimi ni mzoefu wa kupika ugali. Nikishapikia chakula kingine na kupikia tena ugali sufia ili, mambo yanakuwa mswano. Kuna aliyekumbana na hili?
Sijawahi kumbana na hiloKuanzia zile wanazopitisha wamachinga mpaka none stick zote jibu moja.
Maji yaliyochemka.
Pengine ndo sababu!Maji yaliyochemka.
Jamani Upogo!Jamani, nimejaribu mara kadhaa kupika ugali kwa kutumia sufuria mpya, mara zote ninatoa ugali wa ajabu, na mimi ni mzoefu wa kupika ugali. Nikishapikia chakula kingine na kupikia tena ugali sufia ili, mambo yanakuwa mswano. Kuna aliyekumbana na hili?