Sufuria mpya haiivishi ugali, kwanini?

Sufuria mpya haiivishi ugali, kwanini?

uganda wana mahindi mazuri kweli? ugali wa malawi mtamu sio mzuri au wa zambia yaani unaweza kula debe
Unga wa Uganda ni mzuri sana, kuanzia texture yake ni laini sana, packaging yake pia una ladha kama ya sembe ile ya kuloeka.
 
Huuu ni uongo mtupu, kitu unatumia gesi kweli kisiive chakula, kimekuwa chuma ata haiji
 
Jamani, nimejaribu mara kadhaa kupika ugali kwa kutumia sufuria mpya, mara zote ninatoa ugali wa ajabu, na mimi ni mzoefu wa kupika ugali. Nikishapikia chakula kingine na kupikia tena ugali sufia ili, mambo yanakuwa mswano. Kuna aliyekumbana na hili?
wakati mwingine kuna kaukweli,ila ikiendelea hivo weka unga wa dona kwa chini kabla hujamimina maji,utanipa mrejesho by senior bachelor
 
Jamani, nimejaribu mara kadhaa kupika ugali kwa kutumia sufuria mpya, mara zote ninatoa ugali wa ajabu, na mimi ni mzoefu wa kupika ugali. Nikishapikia chakula kingine na kupikia tena ugali sufia ili, mambo yanakuwa mswano. Kuna aliyekumbana na hili?
Hiyo wamechakachuwa material transmision of heat is poor. Bola ifunge tu au pikia chai
 
Maji yaliyochemka.

Kiroga uji wacha uchemke muda mrefu (hapa ndio ulipo ufundi wa ugali) uji usiwe mwepesi sana wala mzito sana uwe wa kati na kati . Kisha weka unga kiasi cha kuivishia ugali acha vichemke kwa pamoja hata kwa 5 min . Ukitoa ugali mbichi kwenye hiyo sufuria yako mpya basi ujue kuna mchawi jikoni kwako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani, nimejaribu mara kadhaa kupika ugali kwa kutumia sufuria mpya, mara zote ninatoa ugali wa ajabu, na mimi ni mzoefu wa kupika ugali. Nikishapikia chakula kingine na kupikia tena ugali sufia ili, mambo yanakuwa mswano. Kuna aliyekumbana na hili?
Jamani Upogo!
 
Back
Top Bottom