Suge Knight anasema 2Pac hajafa!!

Suge Knight anasema 2Pac hajafa!!

Mtoto wa Suge anasema tupac anaishi Malaysia na katoa na picha alizopiga na celebrities flani hivi wa Marekani.
 


"whoever made this video is a pure genius because Michael Jackson and 2pac was both misunderstood by everyone but the best people you could ever meet. the only thing I dont like is the cursing though. But I understood both of them especially I understood what Michael went through im a understanding person I dont judge people by their looks"
-
Alyssa Alyssa
 


"Pac I cry when I heard u die. I felt a sharp pain in my chest. I smoke a blunt for u. I was 15 , now I am 37. I tell everyone u real the the greatest mc ever. U taught me about everything when it comes to music. Ppl called me lil Tupac . Now I see why, if I ever meant u, I would be your little Bru u never had. Love your biggest fan Bebob"
- Robert Richardson
 
Katika pitapita nikakuta blog ya Sammisago akiwa ameandika hii story
===============================
Suge Knight asema hana imani kuwa 2 Pac amekufa


Share Habari Na Marafiki Zake
Kwenye Interview ndefu itakayoruka weekend hii nchini Marekani ikiwa na ushahidi mpya kuhusu kifo cha 2 Pac, mmiliki wa Death Row Records Suge Knight amesema hana uhakika kama 2 Pac amekufa.

Suge ambaye alikuwa kwenye gari wakati 2 Pac anapigwa risasi amesema kwenye interview na Ice T na mwandishi Soledad O’Brien “Nilipoondoka Hospitalini baada ya 2 Pac kuhudumiwa kutokana na kupigwa risasi, alikuwa powa tu na tulitaniana na kucheka, Sioni jinsi gani mtu anaweza badilika hali kutoka kuwa na nafuu mpaka kuwa na hali mbaya kabisa”

Akaulizwa Je 2 Pac Yuko hai, alijibu> Nakwambia, Jinsi alivyo 2 Pac, huwezi kujua.

Interview hii inaitwa “Who Shot Biggie & Tupac?” itaruka Jumapili hii ikiongelea mauwaji ya wasanii wakubwa wa hiphop Christopher “The Notorious B.I.G.” Wallace na 2Pac.

Shakur alifariki Sept. 13, 1996 baada ya kupigwa risasi mjini Las Vegas na Wallace alifariki March 9, 1997 baada ya kupigwa risasi mjini Los Angeles.

Waliofanya mauwaji haya hawajawahi kukamatwa.


Suge Knight asema hana imani kuwa 2 Pac amekufa – Home-Sammisago.Com
Hii stori siku hizi haiizi tena.
 
Suge ambaye alikuwa kwenye gari wakati 2 Pac anapigwa risasi amesema kwenye interview na Ice T na mwandishi Soledad O’Brien “Nilipoondoka Hospitalini baada ya 2 Pac kuhudumiwa kutokana na kupigwa risasi, alikuwa powa tu na tulitaniana na kucheka, Sioni jinsi gani mtu anaweza badilika hali kutoka kuwa na nafuu mpaka kuwa na hali mbaya kabisa”

Ni kweli 2Pac alikua fresh.
Halafu najiuliza ni kwa nini mwili wake uchomwe fasta? hata kama
ni taratibu zao za mazishi hili haliingi akilini kuna kitu kinafichwa.
 
Screenshot 2018-10-14 18.54.55.png
Assets.png
davis.JPG
Screenshot 2018-10-14 19.00.27.png
Screenshot 2018-10-14 16.44.26.png
Screenshot 2018-10-14 19.43.30.png
 
Back
Top Bottom