20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,186
- 7,184
Huko ni kujinyima au ku act??Sidhani kama Sugu anajua maana ya kuwa kiongozi...hizi show off zinafanywa na Wasanii au Wanajamii wengine lakini sio mtu aliyesimama jukwaani na kuiaminisha jamii yake kuwa amekuja kuwatumikia alafu yeye anaishi sayari nyingine.
Huku ni sawa na wanao wanakupigia simu wana njaa nyumbani baba unatuma picha upo Kempinski unafanya party ya birthday.
Mi nilidhani uongozi ni kujinyima....
Kule Nertheland Waziri anatumia baiskeli huku kwetu Mbunge anagawa zawadi ya Gari.
By the way hapo kuna somo kutoka kwa mbunge kwenda kwako wew mwananchi.
Thamini mwanamke wako, jali na kumpenda. Usiwe na uchoyo wa kizamani wa wazee wetu kuwa dingi anavaa fresh then mkewe kachooka.
Au sugu atembeleee gari kali then kipenzi chake awe mtu wa boda boda au kid wake ashindwe kwenda shule.
Kuna maisha ya kiongozi na kuna personal life. Usi changanye vitu hivi viwili.
Big up Sugu as long as unafanya majukumu vizuri[emoji106]