Sugu apata soko la maharage nje ya Nchi, Wakulima kazi kwenu

Tulishaambiwaga soko la MIHOGO limepatikana at the end tuka respond nalo kilichotutokea balaaa
Tanzania soko la mihogo lipo tena kubwa.Kiwanda cha Azania Millers pale ubungo hununua makopa ya mihogo iliyokaushwa kuanzia tani kumi kiasi chochote hata uwe na tani milioni moja
Mwenye mihogo hiyo iliyokaushwa aweza dhibitisha hilo awasiliane nao awaulize bei wananunua awapelekee pale kiwandani
 
Hapo hakuna mtu mwenye uwezo wa kununua kontena 250 za Maharage. Jamaa zimepauka hivyo, pesa watatoa wapi? Jamaa hao muonekano wao ni wa kimaskini tu.
 
Sugu ni msela wasela huzeeka na usela wao baharia kama baharia kaamua kuachia masnap yake akiwa mantoni na masela wenzie huyu mleta mada kawaka kisa weupe! Juzi kati alipiga picha na balozi wa america kaamua kutengeneza photo album ya miaka 50!
 
Sugu ni msela wasela huzeeka na usela wao baharia kama baharia kaamua kuachia masnap yake akiwa mantoni na masela wenzie huyu mleta mada kawaka kisa weupe! Juzi kati alipiga picha na balozi wa america kaamua kutengeneza photo album ya miaka 50!
These guy cant think straight.
Anafikiri wengine wote ni wasela wenzake.
Mkao tu wa hapo kikao cha si WA KIBIASHARA!
Hakuna karatasi lolote la kuchukua kumbukumbu au makubaliano.
Mtu ana chat na simu, no records za proceedings!
Bangi mbaya!
 
View attachment 2938677
Aisee sawa mkuu ila Hii hapa CV yake na kwa maelekezo yako Inamaana O Level alisoma miaka Mitatu baada ya hapo A level akasoma mwaka mmoja. Anyways inawezeka sipo sahihi.
Hizi CV za bunge mara nyingi hazijazwi kwa ukweli na naona mara zote wanatimiza wajibu tu..
Angalia hapo Chini inasema proffesor Jay alianza Mziki mwaka 2004

Sasa inamaana alikiba kaanza mziki Kabla ya proffesor jay?


Kama unaziamini Basi utaamini pia kuwa Hamisi Mwinjuma au MwanaFA alitoka Diploma na akaenda Moja kwa Moja Master degree ya Finance
 
Twambie maharage watanunua kwa Tsh ngapi?
Maharage yanayo hitajika yana sifa gani?
Hao wanao nunua wanatoka wapi?
Hayo maharage wataanza kununua lini na mwaka gani?
 
Msaidieni Heche na yeye ajiajiri. Elimu pia huwa inamponza Sana yeye kila kitu anadhani ni matumizi ya maguvu na Kiswahili chake cha kuparaza.
 
Nyie endeleeni na Uchawa wa kuisifia CCM, ndio kazi mnayoweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…