Sugu apata soko la maharage nje ya Nchi, Wakulima kazi kwenu

Wazo lako limechukuliwa
 
Kuna tamasha linafanyikaga alliance france pale la wasanii
Wa zamani na kinachopatikana
Msanii anapewa

Ova
 
Wazo zuri sana hili

Ova
 
Hii idea ya kudhamini tamasha kama hilo ninayo sema hela ndio sina. Mpaka nipate hela wasijekuwa wamezeeka wote au wamefariki, au nisipate hizo hela.

Changamoto ni kuwarudisha kwenye form wengi wao hawana mazoezi ya sauti, discipline hawana kuna wavuta bangi madawa na pombe, hawana maisha na wengine wamejipata, hawazingatii mikataba na makubaliano. Yani changamoto kwao ni nyingi ila suala la marketing linafanyika vizuri hata media baadhi zikisusa.

Anyway kuwaza ni bure. Hela sina mimi ila ningekuwa nayo sasa!
 
Chadem
Chadema ndio chama cha tegemeo kwa Watanzania.

Hawa wengine ni jukwaa la kugombea matumbo yao
 
Wa CCM wanajua kuiba pekee
 
Hivi level ya elimu ya sugu ni ipi?
Sugu au Sugunyo ni form leaver Tena failure,ila ni mwenye exposure kubwa sana na kujiongeza kwa sana,street smart na kwa sugu ni ushahidi kuwa education system ndio inayo fail sio mtu.Tujiongezeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…