Sugu apata soko la maharage nje ya Nchi, Wakulima kazi kwenu

Sugu au Sugunyo ni form leaver Tena failure,ila ni mwenye exposure kubwa sana na kujiongeza kwa sana,street smart na kwa sugu ni ushahidi kuwa education system ndio inayo fail sio mtu.Tujiongezeee
Bora hata wewe, sasa nikiuliza mtu anakuja ku attack [emoji706][emoji706][emoji706] yani hajui hata lengo la swali.
 
na mdude nyagali ana mradi gani mkuu na erythrocyte je?
 
Mwamba kwanini hapewi Udokta wa Heshima.!?
 
Sie maharage hayatutoshi yeye anaanza dili za kutorosha maharagwe, cdm wa hovyo sana, siangewauzia wamarekani
 
Sasa we unatak jifananisha na sugu
Hebu tuoneahe basi mkao wako

Ova
Ningekuonyesha picha yangu nikifanya bilateral talks na kuweka viwango na matarajio.
Tatizo hapo nitaji expose identity.
 
Ubunge awaachie wanasiasa [emoji209]

Wanasiasa machokoraa wasiojua uchumi, wanaowafukarisha wananchi, hawatakiwi kabisa.

Tunataka viongozi kama akili Bakhresa, Mo, Sugu, Mbowe na the like ili wawaongoze watu kuelekea kwenye mafanikio ya maendeleo. Siyo watu kama akina Makonda au Mwigulu wanaowaongoza watu kuwa wauaji na wevi wa pesa za wananchi.
 
Hapana, tunahitaji sana watu wa aina hii kwenye siasa na uongozi ili wawapeleke watu kwenye mafanikio.

Kiongozi chokoraa na kibaka, atakuongoza, akufikishe wapi?
 

Wewe punguani ungetulia, ili wenye akili timamu wachangie hoja.
 
Unadhani Makonda na Mbowe ni tofauti?
 

Punguani mwingine huyu hapa.
 
Napendekeza hili jambo litangazwe vizuri.. hayo maharage tutamuuzia nani? Wapi? Kwa bei gani? Au tuje PM?? Msimu huu ni wa mavuno ya maharage na tunaendea kilimo cha maharage awamu ya pili ni vyema tungepata taarifa kamili ili tuweze kuwekeza na huko badala ya kuandika habari nzuri kama hii kisiasa tuu. Any way ahsante Sugu naomba vyombo husika visimkwamishe kwa jambo hili kwakuwa tuu yeye ni Mpinzani. Ni vyema maslahi ya mkulima yakatangulizwa kwanza.
Aluta continua... CDE Mtwa mkulu kutoka mgololo
Erythrocyte
 
Kweli waache ushabiki....lakini mbona maharage Tz yana soko kubwa sana kilo hadi Tsh 4000/=
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…