MFYU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 505
- 69
Kwa ulewa wa haraka haraka tu:
1)..sheria ipo kwa ajili ya kumlinda mtoto..sababu mtoto yupo katika moja ya kundi hatarishi..kuna kitu inaitwa BEST INTEREST OF THE CHILD..na katika kutoa maaamuz yeyote kisheria..best interest itaangaliwa...tukianzia hapo...a) kimaaadili kwakweli faiza kama mama ni kituko..inaezekana ndio haaambatan na mtoto katka mishe zake za kuvaa utupu...lakini izo nguo anazivalia wapi? si nyumbani?? naamini hua ana muaga mwanae kabla hajatoka...at that juncture..huyo bint yake anaona...na tunajua..ukizoea kuona kitu mara kwa mara..aghalabu hugeuka tabia..so dogo nae akiwa anakua ataona avyofanya maza ni kawaida tu..! Ndio mwanzo wa kuharibikiwa! Binafs naona tabia huanzia nyumban..
1)..sheria ipo kwa ajili ya kumlinda mtoto..sababu mtoto yupo katika moja ya kundi hatarishi..kuna kitu inaitwa BEST INTEREST OF THE CHILD..na katika kutoa maaamuz yeyote kisheria..best interest itaangaliwa...tukianzia hapo...a) kimaaadili kwakweli faiza kama mama ni kituko..inaezekana ndio haaambatan na mtoto katka mishe zake za kuvaa utupu...lakini izo nguo anazivalia wapi? si nyumbani?? naamini hua ana muaga mwanae kabla hajatoka...at that juncture..huyo bint yake anaona...na tunajua..ukizoea kuona kitu mara kwa mara..aghalabu hugeuka tabia..so dogo nae akiwa anakua ataona avyofanya maza ni kawaida tu..! Ndio mwanzo wa kuharibikiwa! Binafs naona tabia huanzia nyumban..


