Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
yeah,sawa but kuna process za kufuatwa katika kesi za aina hii ambazo ni wazi kuwa zimekiukwa kwa makusudi kabisaaaaaa
hukumu imepitishwa based on emotions ama rushwa.
picha za mitandaoni sio sababu ya mama kunyang'anywa mtoto wake.
hapa ni wazi kuwa mheshimiwa katoa kitu kidogo asee....
Jesus christ..........!!!!
Hey guy are you really mentally fit??its typical fixed brain....does fair has time limit..???jinga wewe..???kioja et wamefanya siku mbili,its naive arquement..!!!jibu jepes wamefanya hvy kuokoa mtoto frm moral decay...!!!you know nothing abt psychological development of a child at early stage.dont advertise your foolishness....!!!
mheshimiwa ntakufuturu sasa hivi,ooh,unadhani hapa ni mle bungeni mnapotoleana maneno ya kijinga bila kupata madhara.shika adabu yako hapa hakuna kinga for your infor,shutup your piehole if you can behave or I SHUT IT FOR YOU.....
hukumu imepitishwa based on emotions ama rushwa.
picha za mitandaoni sio sababu ya mama kunyang'anywa mtoto wake.
hapa ni wazi kuwa mheshimiwa katoa kitu kidogo asee....
Wewe umeiona hiyo hukumu? Kama umeiona, umeionea wapi? Na umeisoma?
mambo ya custody ya mtoto,kweli yanakua solved ndani ya masaa 48 kweli?.
hakimu anafikia vipi hukumu kwa picha za instgramu?
I 've never seen a plain brain man who knowngly dare his foolish to the public.Its pure robot brain that miss imperical knowledge about child development at early stage.......!!!!
Hizo process ni zipi?
Ziorodheshe hapa uweke na rejea ya/zake, tafadhali, halafu uonyeshe ni kivipi hazikufuatwa.
Hizi pasepsheni,nilijua u-mzima kumbe kalagabagho!picha ya mavazi iliyotumika kama kielelezo kumbe ni ya beach,sasa kila weekend pale coco beach wamama wangapi na watoto wanavaa nguo za ufukweni?,
ama tuseme wale wadada wa usiku kuanzia hukumu ya huyu hakimu mla rushwa,hawatakiwi kuwa na watoto,ju wanavaa vimini vya hatari?
ladies and gentlemen,am taking a break now,am gonna feed my face now see you in one hour.........
Kesi zikichewa tunalia zikiwahi tumetoa rushwa! Watanzania naninkatuloga?
Hembu fikilia tabia na mavazi ya huyo mzazi mwenzie Sugu kweli yanafaa kuwa mlezi wa huyo mtoto?
Imagine ingekuwa hiyo ndio tabia ya Sugu je Mzazi mwenzie angelimuachia aendelee na malezi ya huyo mtoto?
Tumezidi kulialia aisee!