Sugu awatukana waandaaji wa fiesta kwenye facebook

Sugu yuko sahihi kabisa. Hawa Jamaa wanatumia jasho la wasanii kujinufaisha na kutembea vifua mbele.
 
Kwa mtaji wa wasanii hawa lazima clouds wawatie dole hawa wasanii....
 
Last edited by a moderator:
Na kuna habari za wadaku kama hizi

KINGKAPITA: MMBUNGE WA MBEYA AKA SUGU RUMANDE MPAKA FIESTA IPITE!!

JAFFARAI AMLIPUA SUGU KUHUSU FIESTA MBEYA (Hassbaby's (Mapacha))
Jaffarai amemlipua Sugu baada ya kauli yake ya kukataa kufanyika Fiesta mkoani mwake sasa jaffarai amjibu na kumwambia si kweli kwamba wakazi wa Mbeya hawaitaki yeye mwenyewe alisoma Mbeya na kitovu cha Hip Hop kipo Mbeya, funguka zaidi Hassbaby's (Mapacha)



Yetu macho, wababe wawili wakikumbana sie wanyonge tuko pembeni tukiangalia mshindi
 
Na kuna habari za wadaku kama hizi

KINGKAPITA: MMBUNGE WA MBEYA AKA SUGU RUMANDE MPAKA FIESTA IPITE!!

JAFFARAI AMLIPUA SUGU KUHUSU FIESTA MBEYA (Hassbaby's (Mapacha))
Jaffarai amemlipua Sugu baada ya kauli yake ya kukataa kufanyika Fiesta mkoani mwake sasa jaffarai amjibu na kumwambia si kweli kwamba wakazi wa Mbeya hawaitaki yeye mwenyewe alisoma Mbeya na kitovu cha Hip Hop kipo Mbeya, funguka zaidi Hassbaby's (Mapacha)



Yetu macho, wababe wawili wakikumbana sie wanyonge tuko pembeni tukiangalia mshindi
 

You even don't know the name of CHADEMA leader! Those, who are not hooligans led us to this life we are lliving, you should regret for the life you are living now! I wish you would live the future life, full of INDEPENDECE AND SUCCESS! Magambazzzzzzzzzzzzzzz!
 
Hapa ndipo ule usemi wa ukipenda sana hata chongo utaona kengeza.
Sugu unamambo mengi sana na ya msingi kwa wananchi wako more than ur personal conflicts na clouds
 
Bangi mbaya sana:haya anayoyafanya sugu ni ushahidi wa waziwaziwa bangi
 
Kwa Mtazamo wangu ni bora alichoongea SUGU kuliko upumbavu wa huyu Mzee anayekwenda kwa jina la John Shibuda manake ni mpuuzi wa kutupwa......Sasa walichofanya Clouds ni sawa Kutumia Video ya Sugu? Msitete upuuzi humu kila mtu ana haki ya kuongea sehemu yoyote ila ki ukweli Clouds mi nishawachoka tu....Radio imejaa Mashoga kila kona. Na wewe unayetaka kuhama CDM kwa maneno ya sugu hama tu hukuitwa nenda katafute mabwana sehemu ingine kwanza vyama viko vingi unataka kuchukua reference ya maneno ya sugu kuhama chama hama. CDM haina wanafiki kama wewe.....Aluta Continua.
 

Kwani waandishi hawanunuliki? Kama wamenunuliwa acha awaseme, wao sio malaika, by the way news of the world uingereza chali hii inasuggest ama ina prove waandishi si malaika, to hell clouds wezi wa jasho la wasanii
 
Sugu namuunga mkono kwa kiasi kikubwa, yes, inaweza kuwa ni personal conflict lakini kwa vile keshapitia tatizo basi ameona njia sahihi ni kukabiliana nao kwa kuwapa maneno stahili, nadhani kuwaita wa.s.en ge na ma. sh.oga ni kuwa wanastahili kuitwa hivyo. hatuwezi kuendele kubembeleza u.senge. Kuhusu kuwa anafundisha nn vijana, rahisi, Anatueleza kuwa ukitia bidii katika kazi yako utafanikiwa na kamwe usiwape nafasi was. enge kama clouds &co wajitokeze mbele yako.
Namsikiliza Roma pia, kwa sasa tuna akili timamu na hatuhitaji tuzeeke ndo tujue haki zetu
 

Kama ungekuwa serious ungerudisha kadi kimya kimya. Hapa unafanya usanii wa kifiesta
 
Sugu ana sura 2 ktk jamii 1. Msanii 2. Mbunge
lakin kwa status aliyonayo no 2 hakutakiwa kutumia neno kali hvyo.

Hivi jamii ipi ya kipuuzi unayoizungumzia? Kuanzia Mkuu wa nchi hadi wafagiaji ni wasanii. Lugha sahihi inayoeleweka ni hiyo inabidi uvumilie.
 
Nimeiona kwa FB lkn sitaki kuamini kama kweli ni mheshimiwa katoa maneno yale maana hayakuhitajika asilani
 
Wanakuita sugu*3 (NANI)*2..sugu mtu wamavurugu palipo na dhuruma...nyie mnaoona Sugu amekosea hebu google Clintön vs Lewsky, Robin Hood..
 
Nahisi hapa tunazungumzia ushabiki kwa vikundi vya mziki na vyama.
Pengine Sugu angelikuwa SUGU tu kwenye fani yake, alichofanya kingekuwa sawa.
Lakini kama mbunge kijana, kioo cha vijana wengine, mtunga sheria, kama Mheshimiwa, hakupaswa kutukanana nao .
Angetumia, na bado nafasi anayo ya kutumia nafasi yake kama mbunge kupeleka mswada wa sheria bungeni kutetea haki za wasanii.
Ikiwa sheria tayari ipo na walichofanya hao wa walioandaa FIESTA ni kosa, adhabu yao nikiuwapeleka kwa Pilato na sio kurushiana maneno ya kashfa.
Je kama Clouds watarudisha mapigo ya kashfa, Mheshimiwa Sugu ataendelea kutukanana nao?
Iko siku nilitoa mfano wa mtu mwenye akili akiwa u.c.h.i kumfukuza mwendawazimu aliyemwibia nguo. Mheshimiwa Sugu asipokuwa makini, anaweza kupoteza heshima yake.
 
jiheshimu ww hapo kavaa sura ya usanii so acha awe msanii na kama una chuki binafsi na chadema useme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…