Sugu awatukana waandaaji wa fiesta kwenye facebook

Sugu awatukana waandaaji wa fiesta kwenye facebook

Kupata attention ya rika mbalimbali? Ata pata attention ya watu kama wewe tu ila watu wazima watampotezea na hata vijana wenyewe uelewa watamuona hana maana.
Mkuu,wapiga kura wake wanamwelewa vema Mbunge wao,nilikuwa Mbeya kikazi jana,nimejionea mwenyewe,ninachoweza kukwambia,wapiga kura wake wako pamoja na mbunge wao.Habari kamili waulize Clouds
 
Hahahah..kama mambo yenyewe ndio haya mmmh! Halafu utakuta mtu anajiita Great Thinker halafu ana Kadi ya chama cha kihuni kama cha huyu mheshimiwa!!!
Kama ambavyo ccm ni chama cha kifisadi na wala rushwa! au ufisadi na ulaji rushwa ni hulka ya mtu binafsi na si itikadi ya ccm!?
 
Nani anawaogopa? Tungekua tunaogopa wabunge tusingekua tuna call out wabunge wakifanya makosa. Wenye nidhamu ya woga ni wewe na wenzako ambao mnaogopa kumsema "mheshimiwa" wenu sugu hata anapo kosea. Sasa kati ya mimi na wewe nani mwenye nidhamu ya woga? Yani unamuogopa SUgu mpaka akitukana unashindwa kusema kakosea? Duh....kweli unamuogopa.

Dai umeme na maisha bora kwa wote kwanza ndo uje upige kelele hapa. Wewe na magamba wenzenu mnatulostisha. Maisha magumu huduma mbovu afu bado mnatuzingua. Pita leo barabara ya tandale kwenda sinza yaani ni mashimo kama unakwenda kandahar aaarggh mnazingua magamba
 
Dai umeme na maisha bora kwa wote kwanza ndo uje upige kelele hapa. Wewe na magamba wenzenu mnatulostisha. Maisha magumu huduma mbovu afu bado mnatuzingua. Pita leo barabara ya tandale kwenda sinza yaani ni mashimo kama unakwenda kandahar aaarggh mnazingua magamba

Hivi wewe una akili nzuri kweli au unafuata tu upepo? Huyo Sugu kwa kutukana kadai maisha bora? Kadai umeme? Kadai barabara? Hivi umefuatilia mjadala au umesoma tu post chache kuona watu wanamtetea SUgu na wewe ukaamua uunge tela? Hebu soma vizuri hoja nidyo urudi maana inaelekea hata kusoma thread na kufuatilia mjadala haujafanya hivyo. Pole sana kwa kuwa mshabiki na kuogopa kusema ukweli kwa vile una pingana na wengi....
 
Sugu saizi ni mbunge anatakiwa kuwa makini hizi kauli za kihuni zitamualibia
Kwa hiyo akiwa kitaa na washkaji aongee kibungebunge, akitembea atembee kibungebunge, akienda beach aogelee kibungebunge, akila ugali ale kibungebunge, akienda msalani ajisaidie kibungebunge, akiwa anafanya mapenzi afanye kibungebunge, OMG! kila kitu kibungebunge au kila jambo na mazingira yake?
 
Hahahah..kama mambo yenyewe ndio haya mmmh! Halafu utakuta mtu anajiita Great Thinker halafu ana Kadi ya chama cha kihuni kama cha huyu mheshimiwa!!!

Wewe mpuuzu kweli .Mtu kachukia na ujinga wa wajinga wenzio yakamtoka .Bush alitukana wazi wazi na alikuwa Rais unasemaje ? Ni Muhuni ? Chama chake ni wahuni ? Fikiria acha kukurupuka
 
Sijapata kuona wabunge wahuni kama Sugu na Lema! hata kama upatani na mtu uwezi kuandika matusi hivyo kama vile mvuta bangi, Sugu angekuwa sio mbunge wala hakuna angaelalamika, mbunge kutoa matusi ni ujinga wa hali ya juu
Wewe endeleni tu kuchangia upupu,kwenye topic ya umeme kukatika hujachangia hata kitu kimoja, yes tunajua kila kitu kinachoendelea kwenye hiyo sector ya umeme ndio maana babako yako anatetea so subirini tu,mwaka 2015 tutawabana tu sasa hivi si mnachonga,na fahamu msemo unaosema kila kitu kina mwanzo na mwisho.......so msifikiri mtaongoza milele nyinyi CCM.
 
CHADEMA is led by a mobster Mboye, no wonder the surbodinates copy their prexy's ways. Mboye has yet to enoxerate himself from allegations that he is an infamous marijuana smoker. Imagine in the future having these type of hooligans acting as our ministers, this should never happen during my life time. I am not stupified when I see these 'leaders' coax desperate youths into deluging streets, doing vandalism under the umbrella of peaceful demonstrations.
Mwone na huyu naye,unakurupuka tu na kuandika upupu,MBOYE ndio nani??hujui hata unayemzungumzia?stupid....
 
Clouds wote ni kusanyiko la wezi, vilaza na wakora ! SUGU SEMA USIOGOPE.
 
Mkuu,wapiga kura wake wanamwelewa vema Mbunge wao,nilikuwa Mbeya kikazi jana,nimejionea mwenyewe,ninachoweza kukwambia,wapiga kura wake wako pamoja na mbunge wao.Habari kamili waulize Clouds

usijidanganye namna hiyo kwa kuuliza watu wawili watatu na kutoa sweeping statement eti wapiga kura wake wanamwelewa vema. ni vizuri kuwa na utafiti wa kutosha ili kubaini hilo
 
Mbona mie najaribu kuangalia huku facebuk kwa wall yake sioni post ya namna hiyo............
 
Alichoandika mr 2 sugu kuhusu fiesta kwenye wall yake ya facebookkama hii ndio chadema school of thought, muda si mrefu nitarudisha kadi niungane na mtikila.Mods in jf tunasema "where we dare to talk openly"so please if that is true then msiondoe hii thread.
ninachotaka kusema hapa ujiunge na mtikila mfanye nn? brainlesss
 
Hawa wapuuzi wanaingia na kutetea upuuzi usiokuwa na mpango,eti kafanya kosa kutukana,sasa si bora yeye kuliko nyinyi mafisadi mnaokula hela za wananchi bila mpango,alafu mlivyokuwa hamna aibu kuchangia, mnachangia thread ambazo hazina kichwa wala miguu,ila kwenye thread za ukweli zinazohusu viongizi wenu uchwara hamchangii,mnatia sana aibu,pumbavu tutabanana tu hapo 2015 sio mbali sana.....mnazadhani mtabaki madarakani mpaka lini???
 
wakuu hata kama hiyo clip ni ya zamani lakini ukweli unabaki pale pale kwamba at one point in time aliiunga fiesta mkono na aliishabikia. Swali la kujiuliza ni kwa nini aliisaport fiesta then and why not now? au ni kwa vile ana ugomvi binafsi na ruge ndio maana amegeuza kibao? Mhe Mbilinyi siyo mkweli hata kidogo kwani hivi sasa ameanzisha hii movement kwa maslahi yake binafsi na kuwahadaa wananchi kwamba ana uchungu na wasanii wenzake. Hivi hao wasanii aliyowapeleka mbeya yeye amewalipa shillingi ngapi? sawa tunaweza kuwalaumu sana clouds kwamba wanawanyonya wasanii lakini ukweli lazima tuseme kwamba sugu hakuwa na nia ya kuwasaida wasanii kutoka moyoni mwake.

Ukweli ulio wazi ni kuwa anataka kugrab hii opportunity ya kuwasaidia wasanii ili apate public sympathy lakini akae akijua kwamba anaweza kuwahadaa wananchi kwa kipindi cha muda mfupi na baada ya muda ukweli utakuwa wazi. Clouds pamoja na mabaya yote sugu aliyoeleza juu yao lakini bado wanafanya kazi nzuri ya kuwapa changamoto wasanii watunge nyimbo nzuri ili zipigwe kwenye radio yao! na kusema ukweli wasanii wengi tu wamekuwa wanajitahidi kufanya hivyo ili watoe nyimbo nzuri. Lakini utakuta wakongwe wa muziki kama sugu, afande sele, danni msimamo, g solo, mkoloni wamekuwa wakiijifanya wanajua sana mziki na matokeo yake ngoma zao zimekuwa hazikubaliki na ndiyo maana zimekuwa hazipigwi clouds. Sasa hii ni hasira wanayotaka kuleta ili kuikomoa clouds lakini sidhani kama itasaidia lolote.

Nimeona interview yake akisema wahariri wa habari wamekuwa wakihongwa na clouds ili kuzima issue ya malaria na hii ni very serious allegation. Iwapo vyombo vya habari wakiona hii interview yake inaweza kumharibia na wakamgeuka mara moja. Pamoja na kwamba anadhani kwamba wanambeya wamemchagua kwa kura za kishindo lakini ni media ndiyo inaweza kumjenga au kumbomoa na akaishia pabaya sana. Hatakiwi hata kidogo kugombana na vyombo vya habari na hii ni soma si kwa nchini kwetu lakini dunia nzima. Tumeshuhudia viongozi wengi wakiangushwa na vyombo vya habari.

Status yake ya kwanza kwenye facebook alisema kwamba fiesta ni upuuzi na hawezi kukubali ifanyike mbeya kama sikosei aliapa kwamba haitafanyika mbeya. Hivi yeye ni nani mpaka aape kwamba fiesta haiwezi kufanyika mbeya? Leo hii ni mbunge tu na analeta vitisho kwani yote hiyo ni kujiamini kupita kiasi kwamba wapiga kura wake watampa support. Hapo ni kosa kubwa la kwanza alilofanya huyu mheshimiwa sana. Pamoja na kula kiapo tumeshuhudia fiesta ikifanyika mbeya bila ya tatizo lolote. Alitumia nafasi yake ya ubunge kufanya mkutano wa hadhara ili ahamasishe wakazi ya mbeya kuikataa fiesta na kibaya zaidi inasemekana hakuwa na kibali cha kufanya mkutano. Swali ninalojiuliza hivi je alifanya mkutano bila kibali kwa makusudi ili akamatwe na polisi na kuwekwa ndani ili apate public sympathy ya wakazi wa mbeya ili wafanye fujo? kosa kubwa ninaloliona kwa jeshi la polisi ni kumuweka ndani huyu mheshimiwa kwani bila ya hivyo issue hii isingepata headlines zozote alizokuwa anatarajia. Uzuri ni kwamba ametumia opportunity ya jeshi letu na pengine hata hakuwa na kibali tena kwa makusudi kabisa ili atimize malengo yake...all in all aliwekwa ndani na kisha akatolewa.

Taarifa yake kwa umma nimeisoma lakini sijaridhishwa nayo hata kidogo kwani imejaa ubabaishaji wa kutumia mgongo wa wasanii kitu ambacho si kweli hata kidogo. Ukweli ni kwamba sugu ni mtu mmoja hatari sana na tusipokuwa makini kuelewa dhamira yake tunaweza kujiingiza kwenye mtego ambao mwisho wa siku itakuwa mbaya sana. Mtu kama huyu inabidi kumuogopa sana na kuwa naye makini sana katika kile anachodai ni harakati zake za kukomboa wasanii.

kwa leo naomba niishie hapa lakini nasisitiza tena na tena tuwe makini sana na huyu mheshimiwa.
 
wakuu hata kama hiyo clip ni ya zamani lakini ukweli unabaki pale pale kwamba at one point in time aliiunga fiesta mkono na aliishabikia. Swali la kujiuliza ni kwa nini aliisaport fiesta then and why not now? au ni kwa vile ana ugomvi binafsi na ruge ndio maana amegeuza kibao? Mhe Mbilinyi siyo mkweli hata kidogo kwani hivi sasa ameanzisha hii movement kwa maslahi yake binafsi na kuwahadaa wananchi kwamba ana uchungu na wasanii wenzake. Hivi hao wasanii aliyowapeleka mbeya yeye amewalipa shillingi ngapi? sawa tunaweza kuwalaumu sana clouds kwamba wanawanyonya wasanii lakini ukweli lazima tuseme kwamba sugu hakuwa na nia ya kuwasaida wasanii kutoka moyoni mwake.
true, Sugu alikubalije Ruge amtumie kama mdoli kutangaza Fiesta leo amgeuke?

...Clouds pamoja na mabaya yote sugu aliyoeleza juu yao lakini bado wanafanya kazi nzuri ya kuwapa changamoto wasanii watunge nyimbo nzuri ili zipigwe kwenye radio yao! na kusema ukweli wasanii wengi tu wamekuwa wanajitahidi kufanya hivyo ili watoe nyimbo nzuri. Lakini utakuta wakongwe wa muziki kama sugu, afande sele, danni msimamo, g solo, mkoloni wamekuwa wakiijifanya wanajua sana mziki na matokeo yake ngoma zao zimekuwa hazikubaliki na ndiyo maana zimekuwa hazipigwi clouds. Sasa hii ni hasira wanayotaka kuleta ili kuikomoa clouds lakini sidhani kama itasaidia lolote.
I don't know about all that raving for Clouds FM, ninachojua wasanii kibao wanalalamika kina Ruge wana wa screw in the rear end. Mfano dili la Malaria la Sugu, nina first hand knowledge of its origin and details, lilikuwa ni la Sugu mwanzo mwisho, wakaja kumnyang'anya kidhalimu, Clouds ni washenzi.

Lakini kwa Fiesta, Sugu hapa hana credibility kwa sababu at one point he prostituted his services for Ruge doing a video promoting Fiesta, Sugu alikuwa hajui mpango mzima wa Ruge na Fiesta, Sugu ni undying veteran in the game, I listed to 2 Proud as a school boy, leo ndio kagundua exploitation ya Fiesta? Una pause kwenye ki-video cha Ruge? Sugu please!
 
Hahahah..kama mambo yenyewe ndio haya mmmh! Halafu utakuta mtu anajiita Great Thinker halafu ana Kadi ya chama cha kihuni kama cha huyu mheshimiwa!!!
Na wewe pia unahukumu kundi la watu (chama) kwa tendo na sio hata matendo ya mtu mmoja?!Tena akiwa nje ya ofisi?!What a shame!
 
Hahahah..kama mambo yenyewe ndio haya mmmh! Halafu utakuta mtu anajiita Great Thinker halafu ana Kadi ya chama cha kihuni kama cha huyu mheshimiwa!!!
vipi wahuni wanaoiba gesti?
 
Mnapoteza muda kujadili habari za SUGU wakati hamna UMEME,kweli Watanzania tumelogwa
 
Chadema hawana uhusiano na fiesta..huo ni mpambano wa sugu na wabaya wake katika sanaa. Anaelekea kuwamudu hivyo huna haja ya kuihusisha chadema kamati kuu.
Msimamo wa Sugu kuhusu Fiesta ni Msimamo wa Chadema! Hata lugha ya Mr Sugu kuwa waandaaji wa Fiesta ni Wase.nge ni baraka za Kamati Kuu ya Chadema!
 
Back
Top Bottom