Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
na wewe ni kati yao kama na wewe ni Clouse FMMsimamo wa Sugu kuhusu Fiesta ni Msimamo wa Chadema! Hata lugha ya Mr Sugu kuwa waandaaji wa Fiesta ni Wase.nge ni baraka za Kamati Kuu ya Chadema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na wewe ni kati yao kama na wewe ni Clouse FMMsimamo wa Sugu kuhusu Fiesta ni Msimamo wa Chadema! Hata lugha ya Mr Sugu kuwa waandaaji wa Fiesta ni Wase.nge ni baraka za Kamati Kuu ya Chadema!
kinega! AntvirusHawa ndio viongozi wa (Bavicha) ndio wanataka tuwape nchi, utawajua tu kwa matusi yao ndio maana wanamtetea muhuni mwenzao Sugu
nyie ndo mnaosababisha wabunge waitwe waheshimiwa na waonekane km miungu watu kwenye jamii kwa sababu ya huu use..nge wa kuwa na nidhamu ya woga, acheni izo bwana, waoneni km watu wa kawaida ili wasipitishe misheria yao mibovu yakujilipa masurufu kibao.
Sijapata kuona wabunge wahuni kama Sugu na Lema! hata kama upatani na mtu uwezi kuandika matusi hivyo kama vile mvuta bangi, Sugu angekuwa sio mbunge wala hakuna angaelalamika, mbunge kutoa matusi ni ujinga wa hali ya juu
i wanna see bullets!Juzi nilizungumzia ili swala na nikasema litawafikisha hawa watu mbali sana , utafikia wakati maneno na ubabe wa pesa/jeuri havitafanya kazi hapo ndipo bullet itakapohitajika kufanya kazi yake.
Mtu gani mwenye akili timamu anayeweza tena kumchagua mtu anayemwaga mitusi mizito hivyo? Alikosa kabisa njia nyingine ya kufikisha ujumbe wake kistaarabu?
lakini wewe upo kwenye mjadala!!ebu tujadili basi hoja yake mwelewa..we unaona sahihi UMAFIA unaofanywa na CLOUDS ENT??Kupata attention ya rika mbalimbali? Ata pata attention ya watu kama wewe tu ila watu wazima watampotezea na hata vijana wenyewe uelewa watamuona hana maana.
Sugu ni mbunge bwana wala sio magamba huwezi tetea matusi na uhuni anao fanya sugu! Tuache unazi wa vyamamagamba mna shida nyie! status ipi? Mr Sugu aligombea akiwa msanii na alipiga kampeni kisanii na wananchi wakamuelewa wakampa kura za kimbunga...tatizo lenu magamba ni unafiki...mnafikiri kufuga vitambi vikubwa na kusinzia bungeni kama wa..si...ra...na Kooomba...ndo uwakilishi???today nikiambiwa nichague kati ya mr Sugu na wa.si.ra kuwa wawakilishi wangu nitachagua mr sugu....by the way mbona mnataka kuaminisha watu kuwa fiesta ni ya ccm??? na kwa mtaji huo msiende arusha mtaabika kwa sana tu..
Kama Sugu ana nia ya kweli ya kuwasaidia hawa wasanii anaodai wana dhulumiwa na Clouds FM kuna hatua anazo weza kuchukua ambazo zitawasaidia badala ya hii ya kutukana ambao haimsaidii yoyote. Kuna Baraza la Sanaa, kuna mamlaka inayo deal na media na pia kuna mahakama. Kama kweli anataka kuwa saidia basi awalete wasanii pamoja watafute mwanasheria waandae kesi ya kupeleke kwenye Baraza na mahakamani.lakini wewe upo kwenye mjadala!!ebu tujadili basi hoja yake mwelewa..we unaona sahihi UMAFIA unaofanywa na CLOUDS ENT??
kugushi nyaraka ni moja ya mambo CHADEMA wanayoyapigania.tujiulize kati ya sugu na hawa clauds nani wa kulaumiwa?tunamuonea huruma mwiz kwa kuwa anatoka damu,wakati hatutafakari madhara,adhaa na hasara na pengine hatar ya kuperuhiwa au kuuawa kwa aloibiwa.damu kwa mwizi isitumike kumuenz na kumuonea huruma mwizi,tukasahau kuwa aloibiwa alipata au alikuwa ktk madhara ya kupoteza uhai.CLOUDS ni mwiz wa SUGU,tusimuonee huruma kwa damu anayotoka muda huu.Hapa "Sugu" kakosea hata atetewe vipi. Hiyo lugha si tu ni mbaya kutamkwa na mbunge bali mtu yoyote yule hata kama ni msanii. Kama hizi ndiyo lugha za kisanii na bado ana taka kuzitumia arudi kwenye mzika. Kashaanza kuchemsha mapema ndiyo maana badala ya kupigia kelele vitu vya maana ana lalamikia Fiesta na ukichunguza ugomvi wake na Fiesta unatokana na bifu personal alilo nalo na watu wa clouds wala asijidai ni kujali wasanii. 2015 toeni huyu mtu.
Nilisoma maelezo ya Sugu jana. Kwa kadri nilivyoelewa ugomvi ni binafsi kati ya Sugu na Ruge kimaslahi. Mambo kama maslahi ya wasanii yanatumika kujaza watu tu. Matatizo ya wasanii yapo na Sugu anajua fika kuwa kama angedhamiria kuyatatua asingetumia njia anazotumia hata kama matatizo yote yangekuwa yanasababishwa na huyo hasimu wake kama anavyotaka tuamini.Tunahitaji hoja madhubuti kuhakikisha kuwa mgogoro huu unahusu maslahi ya umma, siyo maneno rahisi kama ufisadi, kuhodhi soko, chuki nk...
kugushi nyaraka ni moja ya mambo CHADEMA wanayoyapigania.tujiulize kati ya sugu na hawa clauds nani wa kulaumiwa?tunamuonea huruma mwiz kwa kuwa anatoka damu,wakati hatutafakari madhara,adhaa na hasara na pengine hatar ya kuperuhiwa au kuuawa kwa aloibiwa.damu kwa mwizi isitumike kumuenz na kumuonea huruma mwizi,tukasahau kuwa aloibiwa alipata au alikuwa ktk madhara ya kupoteza uhai.CLOUDS ni mwiz wa SUGU,tusimuonee huruma kwa damu anayotoka muda huu.
Shoga, mtoto si rizki, ****** n.k yote sawa tu mbona niliwahi kumsikia mbunge akiwa bungeni akisema mtoto si rizki na hakufanywa kitu.. Hayo ni maneno tu na kweli ni ******* kwani uongo!
Alichoandika mr 2 sugu kuhusu fiesta kwenye wall yake ya facebook
kama hii ndio chadema school of thought, muda si mrefu nitarudisha kadi niungane na mtikila.
Mods in jf tunasema "where we dare to talk openly"
so please if that is true then msiondoe hii thread.