Pre GE2025 Sugu hata akishinda Ubunge, asitangazwe, haiwezekani tupoteze heshima ya nchi kwa kumpoteza Rais wa IPU?

Pre GE2025 Sugu hata akishinda Ubunge, asitangazwe, haiwezekani tupoteze heshima ya nchi kwa kumpoteza Rais wa IPU?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mara tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU kwa sababu tu kuna Dr Tulia kamzidi kura? Isingewezekana bhana!

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Tulia kuwa rais wa IPU kama nchi tunaingiza dollar ngapi kwa siku
 
Sugu atafute tu kingine cha kufanya, hiyo mikutano na mabalozi haitomfaa chochote kuurejesha ubunge.
Tulia kwani amepata Cha kufanya??Sugu ni rais wa mbeya 2025 hata wakigawa Jimbo,atamfata tulia uko uko
 
Sifa ni kuwa mbuge tu, mbona ni rahisi sana kwa Tulia kuwa mbunge, Rais si atamteua kuwa mbunge iwapo ataangukia pua au wabunge wa kuteuliwa hawatakiwi? Au atagombea ubunge wa africa mashariki abako Sugu hawezi kufika.
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mara tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU kwa sababu tu kuna Dr Tulia kamzidi kura? Isingewezekana bhana!

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Statangazwa tu maana hizo ndio sheria zilizopo. So ombi ombi lako ni la kihisia zaid, na serikali haifanyi kazi kwa hisia
 
Sugu ni Kati ya wabunge ambao hata akigombea kenya uganda urundi rwanda atachaguliwa tu achlia mbeya ! Kama hujui nguvu ya sugu muulize marehemu kandoro aliposhindwa kuzima mgomo wa machinga ilibidi serikali imkodie ndege aje atulize fujo RAIS WA MBEYA
 
Sugu ni Kati ya wabunge ambao hata akigombea kenya uganda urundi rwanda atachaguliwa tu achlia mbeya ! Kama hujui nguvu ya sugu muulize marehemu kandoro aliposhindwa kuzima mgomo wa machinga ilibidi serikali imkodie ndege aje atulize fujo RAIS WA MBEYA

Sugu ni kama Mitume wengine waliopewa umma wao.

Kwa karne hii Umma wa Mbeya ni wa Sugu.
Tulizana ni Kafri na mwizi aliyelenga pesa na kumaliza roho za watu badala ya kuziokoa.
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mara tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU kwa sababu tu kuna Dr Tulia kamzidi kura? Isingewezekana bhana!

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Naunga mkono hoja,kijana una akiri na maono ya mbali sana,hakika ure a great thinker.
 
Back
Top Bottom