Pre GE2025 Sugu hata akishinda Ubunge, asitangazwe, haiwezekani tupoteze heshima ya nchi kwa kumpoteza Rais wa IPU?

Pre GE2025 Sugu hata akishinda Ubunge, asitangazwe, haiwezekani tupoteze heshima ya nchi kwa kumpoteza Rais wa IPU?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aisee wewe ni taira tena mbumbumbu pro max. Kwa kweli nimejitahidi sana kutumia lugha ya ustaarabu kwenye kuandika hii caption. Tena bila ya aibu umeandika huu uzi kwa ustadi na kuzingatia kanuni zote za uandishi kuthibitisha kuwa to some extent you're educated. Wapuuzi kama wewe ndio mlioshinikiza Job Ndugai kupokwa wadhifa kwa kuikosoa serikali ilhali hili ni jukumu la spika wa bunge kikatiba kabisaaa. Tanzania ni nchi yenye demokrasia, it is a democratic Republic of tz na sio familia kuongozwa kama unavyofikiria. Kwanza mtu kama wewe unatakiwa kufungwa kwa kuushawishi uma kuivunja sheria ya nchi kibepari. Bila shaka ushauri wa watu kama nyinyi mwishowe utaliingiza taifa kwenye majanga kama majirani zetu wa +254.
Chief, umewahi kukutana na mawazo usiyoyatarajia? Ulifanya nini baada ya hapo, ulitamani kujinyonga au ulitamani ujifukie aridhini?

Ukubwa siyo urefu wa kimo, jifunze kuvumilia wenzako, hutaki, kaa kimya

Na nikukumbushe pia hili, mwandiko wako hutumiwa sana na vilaza, Je wewe ni kilaza?

Jifunze kujadiri hoja uheshimike
 
MOJA YA WATU WAJINGA NA WAPUMBAVU KUWAHI KUTOKEA NCHI HII BASI NI WEWE JAMAA, TAKATAKA KABISA WEWE
Jifunze kuvumilia hoja za wengine, kama ni za kipumbavu, jadiliana yako ioneshe ulipo upumbavu wa hoja, na siyo kumjadili mtoa hoja!

Wewe hili ulichojadili ni cha kipumbavu na hujadiliwa na vilaza
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
 
Sugu atafute tu kingine cha kufanya, hiyo mikutano na mabalozi haitomfaa chochote kuurejesha ubunge.
Sugu ni mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa, hiyo nafasi ya kugombea Ubunge apewe mwanachadema mwingine.

Otherwise nitaona hata hao Chadema ni chama cha misukule tu, mtu mmoja hawezi kuhodhi nafasi zote

Majukumu ya ubunge na kujenga chana kanda nzima hayafai kushikiliwa na mtu mmoja.
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Huo urais wa lipualipua alionao Tulia umekusaidia nini wewe?
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Naunga mkono hoja,wajinga wasipewe nafasi ya kutuchagulia mjinga mwenzako
 
Raia aliyezaliwa Mbeya Mjini asingekuwa na fikra kama za kwako! Unless uwe ni Mzambia, M-Malawi au Kutoka Mozambique.
hoja ikiwa nzito bana na halafu ya kweli,
matokeo yake,
fikra za kibaguzi huubuka, na kwamba tuhuma za kutokua raia wa Tanzania zinaanza sasa:pedroP:

mara wewe ni mmalawi au mzambia n.k kama hivi yaan dah:pedroP:
 
Sugu ni mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa, hiyo nafasi ya kugombea Ubunge apewe mwanachadema mwingine.

Otherwise nitaona hata hao Chadema ni chama cha misukule tu, mtu mmoja hawezi kuhodhi nafasi zote

Majukumu ya ubunge na kujenga chana kanda nzima hayafai kushikiliwa na mtu mmoja.
MBONA KUNA BAADHI YA WABUNGE NI MAWAZIRI, HILI KWAKO LIMEKAAJE PENGINE? AU JICHO LAKO LINAONA UPANDE WA SUGU TU?
 
Nashauri Tulia agombee ubunge Busokelo au Rungwe, huko ni kwao pia, siasa za mbeya mjini awaachie wapinzani, pia hayo majimbo atakaa mda mrefu bila upinzani mkubwa kuliko mjini
 
Labda mfute uchaguzi katika jimbo la Mbeya au figisu za 2020 zifanyike!
Hata hivyo Tulia anaweza kuchaguliwa kuwa mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi 10 za mheshimiwa Rais then akaendelea na nafasi yake kuyawakilisha mabunge yote duniani.
Mkuu, Mimi ni Chadema mwenye msimamo wa kati, ki ukweli kabisa, Tulia asipotee kizembe
 
Nashauri Tulia agombee ubunge Busokelo au Rungwe, huko ni kwao pia, siasa za mbeya mjini awaachie wapinzani, pia hayo majimbo atakaa mda mrefu bila upinzani mkubwa kuliko mjini
Mbeya palepale mkuu
 
Atapewa Ubunge wa kuteuliwa ili mradi demokrasia ichukue mkondo wake. Ubunge wa nguvu utamvunjia heshima ya kimataifa na sifa ya kuongoza Mabunge. Suluhisho wazalishe jimbo lingine Mbeya mjini ili kulinda heshima yake.fullstop
Hata wakizalisha jimbo lingine atakutana na mwabukusi kule, nako hatatoboa
 
Back
Top Bottom