Pre GE2025 Sugu hata akishinda Ubunge, asitangazwe, haiwezekani tupoteze heshima ya nchi kwa kumpoteza Rais wa IPU?

Pre GE2025 Sugu hata akishinda Ubunge, asitangazwe, haiwezekani tupoteze heshima ya nchi kwa kumpoteza Rais wa IPU?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tulia atashinda me ndatoka nilipo na kurudi Mbeya kupiga Kura
 
Kila siku siyo Jumapili
Mimi ni kazi wa Mbeya, nguvu ya Sugu inajulikana, lakini figisu zitakazofanyika zitakuacha na mshangao wa mwaka. Unaweza kuwa unaongea kishabiki, inajulikana Tulia hatoshinda kwenye sanduku la kura, hilo hata CCM wanalijua. Narudia kukwambia tena kuwa haitowezekana Sugu kutangazwa kumshinda Tulia, labda si CCM ninayoifahamu.
 
Chadema wataumbuka sana chaguzi hii.. watanzania wamechezwa na machale awamu hii
 
Wapi nimesema nampenda Tulia? Kutoa maoni yangu nimekuwa mpambe?

Unadhani mimi ni kama wewe chawa wa Mbowe? Mimi ni mtu huru, sifungamani na yeyote wala chama chochote cha kisiasa.
Kumpenda Tulia ni haki ya yeyote na ana wapenzi wengi, Ila kwenye uchaguzi kuna kushinda na kushindwa.
Wote wanaoshinda na kushindwa ni watanzania na ndiyo maana halisi ya uchaguzi.
Pia Tulia akishindwa uchaguzi bado ataendelea kuwa rais wa IPU na nchi/taifa lazima limlinde kwa njia zote (zipo).
 
Kumpenda Tulia ni haki ya yeyote na ana wapenzi wengi, Ila kwenye uchaguzi kuna kushinda na kushindwa.
Wote wanaoshinda na kushindwa ni watanzania na ndiyo maana halisi ya uchaguzi.
Pia Tulia akishindwa uchaguzi bado ataendelea kuwa rais wa IPU na nchi/taifa lazima limlinde kwa njia zote (zipo).
Sasa kwa nini kutumike njia za panya, hapa ni kucheza kidikiteta tu mkuu
 
Tulia atashinda siyo Kwa sababu aendelee kuwa spika wa mabunge duniani. Tulia kazi anayofanya Mbeya inaonekana. Pita Isanga, ilemi, isyesye, ituha, iyela igawilo, mwanjelwa nk utaona Barbara zinavyojengwa. Anayempinga Tulia wananchi watamteketezea mbali.
 
Mimi ni kazi wa Mbeya, nguvu ya Sugu inajulikana, lakini figisu zitakazofanyika zitakuacha na mshangao wa mwaka. Unaweza kuwa unaongea kishabiki, inajulikana Tulia hatoshinda kwenye sanduku la kura, hilo hata CCM wanalijua. Narudia kukwambia tena kuwa haitowezekana Sugu kutangazwa kumshinda Tulia, labda si CCM ninayoifahamu.
Hivi unadhani wale mabalozi wanaoongozana kwenda kwa Sugu ni Wajinga? Halafu mbona Sugu kishaangusha wengi hapo Mbeya Mjini na ni ccm hii hii, Why Tulia? Tulia ana ukubwa gani Mbeya au Tanzania, aliwahi kufanya nini kwao au nchi hii hadi umpe utukufu huo?

Sasa Nakuhakikishia kwamba Tulia ataangushwa na Sugu atatangazwa, endelea kudhani ni ushabiki, Kama ni Uspika si mleteni tu awe mgombea wenu, ni wapi Katiba ya Tanzania imesema Spika lazima awe mbunge?

William Ruto hakujua yatakayomtokea kama ccm isivyojua

Safari hii mkileta ujinga Nchi inapasuka mchana kweupe na Tuko tayari
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
AIsee Tulia aondoke kote kote tu hana faida!
!. Tumeshuhudia upuuzi mkubwa kuliko wa balozi wa nyumba kumi kumi chini ya tulia. Hivi hakuona nchi inauzwa aliporuhusu DP world kupita hapa kwetu?? Pale hakuna spika SHE MUST GO kama watahamia morocco alikopokelea mgao wa DP world aende. Tunajua ameficha hela nyingi hongo ya waarabu kwa ajili ya uchaguzi kama alivyo bi kizmkz. Two MOST EVIL WOMEN OF THE PLANET must GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO

Sugu tupo pamoja
 
Hivi unadhani wale mabalozi wanaoongozana kwenda kwa Sugu ni Wajinga? Halafu mbona Sugu kishaangusha wengi hapo Mbeya Mjini na ni ccm hii hii, Why Tulia? Tulia ana ukubwa gani Mbeya au Tanzania, aliwahi kufanya nini kwao au nchi hii hadi umpe utukufu huo?

Sasa Nakuhakikishia kwamba Tulia ataangushwa na Sugu atatangazwa, endelea kudhani ni ushabiki, Kama ni Uspika si mleteni tu awe mgombea wenu, ni wapi Katiba ya Tanzania imesema Spika lazima awe mbunge?

William Ruto hakujua yatakayomtokea kama ccm isivyojua

Safari hii mkileta ujinga Nchi inapasuka mchana kweupe na Tuko tayari
Sawa mkuu
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Hivi ile issue ya kugawanya Jimbo iliishia vipi?
 
Sawa mkuu
Hatuandiki kishabiki tunaandika uhalisia, watu Mbeya siyo Wajinga kwamba wanaweza kuburuzwa kirahisi, Huyu Sugu siyo mwepesi kama mnavyodhani, Uliza aliko yule OCD aliyemnyanyasa 2020, angalieni mambo kwa upana
 
Hatuandiki kishabiki tunaandika uhalisia, watu Mbeya siyo Wajinga kwamba wanaweza kuburuzwa kirahisi, Huyu Sugu siyo mwepesi kama mnavyodhani, Uliza aliko yule OCD aliyemnyanyasa 2020, angalieni mambo kwa upana
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom