Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
- Thread starter
- #41
Doh! Ninaamini hata wewe ukidharirishwa kiwango hiki, lazima uumie mkuuLabda mfufueni Magufuli, Lakini Tulia hawezi kumshinda Sugu hata akifanya kampeni bila mavazi, hili lichukueni na mlizoee
Labda nikukumbusha mkuu, Unaheshima kubwa sana hapa chief
Hiyo bila mavazi unamaanisha nini hapo, halafu huyo Dada ni Dada mwenzako aisee, siasa zisitupelekeshe na badala yake siasa tuipelekeshe
Acha hizi mambo za kijinga