Pre GE2025 Sugu hata akishinda Ubunge, asitangazwe, haiwezekani tupoteze heshima ya nchi kwa kumpoteza Rais wa IPU?

Pre GE2025 Sugu hata akishinda Ubunge, asitangazwe, haiwezekani tupoteze heshima ya nchi kwa kumpoteza Rais wa IPU?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Labda mfufueni Magufuli, Lakini Tulia hawezi kumshinda Sugu hata akifanya kampeni bila mavazi, hili lichukueni na mlizoee
Doh! Ninaamini hata wewe ukidharirishwa kiwango hiki, lazima uumie mkuu

Labda nikukumbusha mkuu, Unaheshima kubwa sana hapa chief

Hiyo bila mavazi unamaanisha nini hapo, halafu huyo Dada ni Dada mwenzako aisee, siasa zisitupelekeshe na badala yake siasa tuipelekeshe

Acha hizi mambo za kijinga
 
Doh! Ninaamini hata wewe ukidharirishwa kiwango hiki, lazima uumie mkuu

Labda nikukumbusha mkuu, Unaheshima kubwa sana hapa chief

Acha hizi mambo za kijinga
Unajua kuna namna huwa tunatafuta kufundisha humu ili watu watuelewe hadi tunatumia lugha kali kidogo, hatulengi kutukana lengo letu ni kusisitiza, Tusameheane iwapo tumekwaza mahali
 
Sugu atafute tu kingine cha kufanya, hiyo mikutano na mabalozi haitomfaa chochote kuurejesha ubunge.
Wewe na yeye hata mkija uchi ng'ooo hampati[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Hayo maneno labda uyasemee huku huku.

Tulia atateuliwa as before
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Sugu hawezi kushinda ubunge Mbeya mjini,arudi kwao Iringa huko akapambane na Msigwa
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Ukilaza nacho ni kipaji hongera
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Maccm Huwa wanajisahau sana

huyu betina ubunge wenyewe alipewa na mwendazake akavimba bichwa eti anaweza.

sasa 2025 bila mbeleko itakuwaje?

atapoteza ubunge na uraisi wa iipu
sisi hatuna namna ya kumsaidia
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Tofauti na heshima faida nyingine kwa wananchi ni ipi ama zipi?
 
Tofauti na heshima faida nyingine kwa wananchi ni ipi ama zipi?
Swali hili ni gumu kulijibu kulingana na ulivyojipanga

Swali hilihili liwe upande wa Sugu, amekuwa na faida ipi Mbeya
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Usihofu, akishindwa kuna viti maalum atapewa. Achana na wazo la kuiba kura ni batili!
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Naunga mkono hoja
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Acha waamue wenye nchi/wananchi
 
Back
Top Bottom