Pre GE2025 Sugu hata akishinda Ubunge, asitangazwe, haiwezekani tupoteze heshima ya nchi kwa kumpoteza Rais wa IPU?

Pre GE2025 Sugu hata akishinda Ubunge, asitangazwe, haiwezekani tupoteze heshima ya nchi kwa kumpoteza Rais wa IPU?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakati anachaguliwa Mbunge ni Balozi gani alikuwepo? Halafu kuna kitu wengi hamjui kuhusu Mbeya, Huyu Tulia hiyo 2020 pamoja na kugawa rushwa mbeya nzima lakini aliangushwa kwenye ubunge bila huruma yoyote, ni vile meza ilipinduliwa nchi nzima mbele ya mtutu wa bunduki

Kingine ni hiki, mpaka leo hii Tulia hana anachoweza kuonyesha kwamba amekifanya kwa Wana Mbeya, ama kama kipo wewe hapo mpambe wake tuonyeshe, Jiji la Mbeya linaongoza kwa kuchepusha mapato ya halmashauri, umewahi kusikia Tulia akilisemea hili?

KAMA UNAMPENDA MTU KUTOKANA NA SURA YAKE NENDA KANYWE NAYE CHAI - JK NYERERE
Wapi nimesema nampenda Tulia? Kutoa maoni yangu nimekuwa mpambe?

Unadhani mimi ni kama wewe chawa wa Mbowe? Mimi ni mtu huru, sifungamani na yeyote wala chama chochote cha kisiasa.
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!

Kwa hiyo unahalalisha Wizi wa kura .... Watui wengine akili zenu mnazijua wenyewe.

Meni Viti Maalumu ...!!
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Kitendo cha kutompa kura huyo Tulia ni kuonyesha dunia kuwa iache kwenda kichwakichwa kwa kuchagua watu wasiostahili kuwa viongozi. Hiyo sifa unayosema tunapata kama nchi, haina maana yoyote maana ni cheo ceremonial zaidi.
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Bado kwenu viroba vinapatikana?
 
Binafs yangu siyo Muccm! Ila kwenye hili tuacheni masikhala bhana!

Sifa moja wapo ya kuwa Rais wa mabunge Duniani IPU, ni lazima uwe mbunge pia katika nchi utokayo

Swali langu ni dogo tu hapa, Dr.Tulia asipoutetea ubunge wake pale Mbeya mjini, anakuwa amekosa sifa za kuendelea kuwa Rais wa mabunge Duniani

Inafahamika kabisa kwamba, Wanambeya wanaweza wasimpe kura za kutosha Dr.Akson Tulia, Je, hata sisi Watanzania tukubali kukosa hii heshima mojawapo katika nchi yetu ya Dr. Tulia kuwa kiongozi mkubwa anayetambulika Duniani kwa kushindwa kumwambia Sugu asigombee au kumwibia kura zake mra tu itakapoonekana kashinda

Embu fikiri..! Nafasi hiyo hiyo ingelikuwa iko kwa Sugu, ni kweli wanachadema na Watanzania wangependa Sugu atoke kwenye nafasi hiyo na kupoteza sifa ya kuwa Rais wa IPU?

Mh Sugu, tafadhari tafuta jimbo lingine mapemaa!
Hayo mabunge ya kutetea ushoga duniani hayatuhusu.
Akawaombe kura huko Ulaya na uarabuni . Kura za wazungu zutamtosha.

Tulimnyima Kura Gavana wa jimbo la Tanganyika mwakilishi wa Malikia wa Uingereza Sembuse Huyo Mkoloni Mweusi tiiii.
Khaaaa.
Stanbuli😡😡😡
Congratulation Tulia !!!
😡😡😡
Mbeya akijaribu kuiba basi ajue hata Wazungu na bunduki zao hawataweza kuzuia mtiti wa Sugu na wananchi wa mbeya.
Hatutaki kulishwa keki ya sumu kwa sababu ya utamu wake.
Tutakula vitumbua visivyo na sumu.

Serikali na Bunge la awamu hii awamu hii imewadharau sana watu wa Tanganyika kwa sababu ya kuangalia maslahi ya Wazungu na waarabu.
Wamasai wamevunjiwa nyumba na sasa wanateseka na Baridi kule KIA kwa sababu ya kuwapigia magoti Waarabu . Miaka mingi tunakula nyama na maziwa ya Wamasai na kutoza Ushuru wa ngombe zao lakini leo tunawafukuza kama wanyamakwa sababu ya waarabu wapita njia.

Tulia anajiangusha Mwenyewe .

Anatetea ufisadi kutetea umaarufu wake badala ya kulinda heshima yake kwa kutetea haki na kupinga dhulma Duniani.

Tanzania tuna Wasomi wengi kama akina Tibaijuka lakini CCM imewajaza ubinafsi na roho mbaya kwa kuthamini Watu wa ulaya kuliko watanzania wanaowapigia Kura.
 
Siku hizi sembe huko kwenu badala ya kuwekwa kwenye kiroba wanaweka wapi siku hizi chief
Ninamaanisha ile pombe ya kiroba maana zilipigwa marufuku enzi za JPM lakini wewe bado unatumia au mnatumia hii toka Malawi?
 

Attachments

  • FB_IMG_1719652423760.jpg
    FB_IMG_1719652423760.jpg
    27.7 KB · Views: 7
Back
Top Bottom