rais wa chunyaJasiri haachi asili.
Kioo cha jamii sio kuwa mtumwa wa mawazo ya wengine, sema kama kuna sheria amevunja hapo tukamshtaki.Ni kioo cha jamii,lazima tumtazame na tumkosoe.
Kwa hiyo ukiwa na miaka 50 hutakiwi kufurahia maisha!! Wewe vipi bhana!!! Acha watu wafurahie bhana.Kwa umri wako wa miaka 50 ni aibu sana kufanya mambo yanayotakiwa kufanywa na wajukuu zako.
Acha ushamba hakuna kosa kujipa rahaKwa umri wako wa miaka 50 ni aibu sana kufanya mambo yanayotakiwa kufanywa na wajukuu zako.
Rais wa mbeya nzima na kifungo Kile hakij a mbadili chochoterais wa chunya
Sijui kwanini mnapenda sana kuingilia uhuru wa wengine, huu ushamba wenu sijui mnautoa wapi, kama Sugu anawakera msipoteze muda wenu kumtazama, wacha mtu atumie pesa zake, na msimfundishe matumizi kama hamkumfundisha kuzitafuta.
Hiyo sura sio yake SuguyeKwa umri wako wa miaka 50 ni aibu sana kufanya mambo yanayotakiwa kufanywa na wajukuu zako.
Ukweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wabongooo wanapenda kupangiana maishaaa, khaaah, kila mtu ashinde match zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena hapo sugu Kuna kitu amesahau,alitakiwa anyonywe mbooh kabisaa.Ni kioo cha jamii,lazima tumtazame na tumkosoe.