Sugu jaribu kuwa mtu mzima

Sugu jaribu kuwa mtu mzima

Unakuta hata mchana haujala hapo, unakazi ya kuangalia maisha ya watu,, itakusaidia nn mkuu,,,mwenzio ana hotel ipo uzunguni mbeya, wew una nn hadi sasa,,?
 


Sugu Nisugue......

By Mzilankende Mnyago, Chuma, Jiwe, Ngosha
Chettle Geita Tanzania
 
Labda anamjibu Faiza,ile chenga aloyozaaga nayo maana kila siku inampa Sh!t za maana.
 
Unamnunuliaga sembe ? Hii tabia ya kupangia watu maisha ya kichoko sana.
Yaan namjua vizuri sugu ni bro nahemuheshimu sana nkajua kaharibu wapi huyu mshikaj wangu .kumbe mtu yuko na mke wake wanaenjoy asee hii nchi inavijana washamba sana .Hapo ujumbe ni kuwa tunaweza kula bata na wake zetu
 
Kwa umri wako wa miaka 50 ni aibu sana kufanya mambo yanayotakiwa kufanywa na wajukuu zako.
Mlimchagua mkijua ni msanii, si mlimkunali yeye na yote anayofanya yaani profile yake mliijua , hata ukiona picha anapiga msuba cha arusha mtulie tu,
Kuna siku mtaambiwa mgombea fulani ni bwabwa mumchague halafu kesho mje mlie lie, hamjui mnalofanya nn,
 
Back
Top Bottom