maukijunior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 233
- 366
Unakuta hata mchana haujala hapo, unakazi ya kuangalia maisha ya watu,, itakusaidia nn mkuu,,,mwenzio ana hotel ipo uzunguni mbeya, wew una nn hadi sasa,,?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaaaahahaaaTena hapo sugu Kuna kitu amesahau,alitakiwa anyonywe mbooh kabisaa.
🤣😂😂🤣🤣😂Jasiri haachi asili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wabongooo wanapenda kupangiana maishaaa, khaaah, kila mtu ashinde match zake.
Sent using Jamii Forums m
Raha Duniani
Yaan namjua vizuri sugu ni bro nahemuheshimu sana nkajua kaharibu wapi huyu mshikaj wangu .kumbe mtu yuko na mke wake wanaenjoy asee hii nchi inavijana washamba sana .Hapo ujumbe ni kuwa tunaweza kula bata na wake zetuUnamnunuliaga sembe ? Hii tabia ya kupangia watu maisha ya kichoko sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabongooo wamezidi eti.Cocastic tena [emoji1] nyuzi zako hizi
Tamba tu wanguuuu tambaaa
Ova
Kioo cha jamii ni babako na familia yako tu,mengine achana nayo.Ni kioo cha jamii,lazima tumtazame na tumkosoe.
Kwa umri wako wa miaka 50 ni aibu sana kufanya mambo yanayotakiwa kufanywa na wajukuu zako.
Acha roho za kimaskini,ayo ni maisha take[emoji1745]Kwa umri wako wa miaka 50 ni aibu sana kufanya mambo yanayotakiwa kufanywa na wajukuu zako.
Mlimchagua mkijua ni msanii, si mlimkunali yeye na yote anayofanya yaani profile yake mliijua , hata ukiona picha anapiga msuba cha arusha mtulie tu,Kwa umri wako wa miaka 50 ni aibu sana kufanya mambo yanayotakiwa kufanywa na wajukuu zako.