Pole sana unaonekana una wivu balaaSugu hajaonyesha njia mtu yoyote yeye ndio alikuwa anaonyeshwa njia akati anakuja mjini, wakati wake wa kuimba ulishapita hana jipya tena aendelee kuvizia kurudi bungeni.
Kuwa bilionea as forbes..sio rahisii...so ana 2.2 Trillion Shillings...acheni, basi hizo ni Standard tushapangiwa.Naona tunajifunza kwa kasi kutoka #Kenya[emoji1254][emoji1241]
#BURUDANI Mkongwe wa mziki wa HipHop Bongo Mr II Sugu @therealjongwe ametamba kuwa msanii kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni Bilonea.
Sugu ameshea ujumbe huu kwenye Twitter ukieleza "Msanii wa kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni Bilionea. Believe That".
#EastAfricaTV
Nimi maoni yako?
Naona tunajifunza kwa kasi kutoka #Kenya
#BURUDANI Mkongwe wa mziki wa HipHop Bongo Mr II Sugu @therealjongwe ametamba kuwa msanii kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni Bilonea.
Sugu ameshea ujumbe huu kwenye Twitter ukieleza "Msanii wa kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni Bilionea. Believe That".
#EastAfricaTV
Nimi maoni yako
Basi nikajuaga mm ndio kilaza, kumbe tupo wengi jamnii...kwa kupost hivyo,jamaa ni zero brain,..matajiri hawanaga mapost ya kiwakiiiNaona tunajifunza kwa kasi kutoka #Kenya[emoji1254][emoji1241]
#BURUDANI Mkongwe wa mziki wa HipHop Bongo Mr II Sugu @therealjongwe ametamba kuwa msanii kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni Bilonea.
Sugu ameshea ujumbe huu kwenye Twitter ukieleza "Msanii wa kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni Bilionea. Believe That".
#EastAfricaTV
Nimi maoni yako?
Posho za ubunge zingetoa mamilionea wengi basiSugu mjanja kitambo hata akiwa na bilionea ni haki sishangai muheshimawa Mrangi.
Kwani modewj alifuata nini?Kama bilionea bungeni anafata nini?
Hivi Diamond hiyo wasafi ni yake 100%?Diamond njoo huku ujibu tuhuma
Ay ana pesa zile alizokiwadai tigo?Sugu hela inampeleka puta sana, kwa ukongwe wake hakupaswa ku behave namna hio. Mwana FA ana mzigo, AY nae ana mzigo pia.
Lady Jaydee nae zipo zipo sio haba. Wako kimya sana kuhusu hela zao.
Dogo Platinumz ndio funga kazi yani. Nafikiri hata Sugu hajamkuta bado.
SjuiHivi Diamond hiyo wasafi ni yake 100%?
tusubiri wajuvi!!!Sjui
Usirudie kumuweka Diamond level za awa wanaojitafuta uzeeni.
Escalade moja ya Diamond inajenga hotel mbili kama hiyo inayomuweka Sugu mjini.
Oya mwanangu,vipi ipilili mvua imeshaanza!?Amesema;
"Msanii wa kwanza kua milionea"
Wakati Sugu ana anza kuimba huyo Diamond alikua ni kitoto kidogo tu kama alikua kisha zaliwa,
Muwe mnajifunza kuelewa jambo kabla ya kuchangia.
Huenda utajiri wa sugu ni sawa na gari zote za mondSugu hela inampeleka puta sana, kwa ukongwe wake hakupaswa ku behave namna hio. Mwana FA ana mzigo, AY nae ana mzigo pia.
Lady Jaydee nae zipo zipo sio haba. Wako kimya sana kuhusu hela zao.
Dogo Platinumz ndio funga kazi yani. Nafikiri hata Sugu hajamkuta bado.
Hili inawezekana kabisaHuenda utajiri wa sugu ni sawa na gari zote za mond
Maana Roli Roisi, V8, MA ESCALADE YALE UKIJUMLISHA HELA MINGI SANAHili inawezekana kabisa
Unaijua hotel ya sugu mwamba?No hard feeling ila km sugu ni billionaire then utajiri wake unaligana na Gari ya Mondi...nway kongole kwake, ametuonesha njia vijana wengine.
Sugu ana billion 3 zimempagawisha kinomaMaana Roli Roisi, V8, MA ESCALADE YALE UKIJUMLISHA HELA MINGI SANA