Sugu kataja ubilionea wake! Wengine igeni mfano!

Sugu kataja ubilionea wake! Wengine igeni mfano!

Sugu hajaonyesha njia mtu yoyote yeye ndio alikuwa anaonyeshwa njia akati anakuja mjini, wakati wake wa kuimba ulishapita hana jipya tena aendelee kuvizia kurudi bungeni.
Pole sana unaonekana una wivu balaa
 
Naona tunajifunza kwa kasi kutoka #Kenya[emoji1254][emoji1241]

#BURUDANI Mkongwe wa mziki wa HipHop Bongo Mr II Sugu @therealjongwe ametamba kuwa msanii kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni Bilonea.

Sugu ameshea ujumbe huu kwenye Twitter ukieleza "Msanii wa kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni Bilionea. Believe That".


#EastAfricaTV

Nimi maoni yako?
Kuwa bilionea as forbes..sio rahisii...so ana 2.2 Trillion Shillings...acheni, basi hizo ni Standard tushapangiwa.
 
Naona tunajifunza kwa kasi kutoka #Kenya
emoji1254.png
emoji1241.png


#BURUDANI Mkongwe wa mziki wa HipHop Bongo Mr II Sugu @therealjongwe ametamba kuwa msanii kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni Bilonea.

Sugu ameshea ujumbe huu kwenye Twitter ukieleza "Msanii wa kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni Bilionea. Believe That".


#EastAfricaTV

Nimi maoni yako

Naona tunajifunza kwa kasi kutoka #Kenya[emoji1254][emoji1241]

#BURUDANI Mkongwe wa mziki wa HipHop Bongo Mr II Sugu @therealjongwe ametamba kuwa msanii kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni Bilonea.

Sugu ameshea ujumbe huu kwenye Twitter ukieleza "Msanii wa kwanza Bongo kuwa Milionea na sasa ni Bilionea. Believe That".


#EastAfricaTV

Nimi maoni yako?
Basi nikajuaga mm ndio kilaza, kumbe tupo wengi jamnii...kwa kupost hivyo,jamaa ni zero brain,..matajiri hawanaga mapost ya kiwakiii

Badi am genious..am i?
 
Sugu moto chini.....hela bila investments haina nguvu....wekeza tu ndio utaheshimika bila kujitangaza
 
Sugu hela inampeleka puta sana, kwa ukongwe wake hakupaswa ku behave namna hio. Mwana FA ana mzigo, AY nae ana mzigo pia.
Lady Jaydee nae zipo zipo sio haba. Wako kimya sana kuhusu hela zao.

Dogo Platinumz ndio funga kazi yani. Nafikiri hata Sugu hajamkuta bado.
Ay ana pesa zile alizokiwadai tigo?
 
Amesema;

"Msanii wa kwanza kua milionea"

Wakati Sugu ana anza kuimba huyo Diamond alikua ni kitoto kidogo tu kama alikua kisha zaliwa,

Muwe mnajifunza kuelewa jambo kabla ya kuchangia.
Oya mwanangu,vipi ipilili mvua imeshaanza!?
 
Sugu hela inampeleka puta sana, kwa ukongwe wake hakupaswa ku behave namna hio. Mwana FA ana mzigo, AY nae ana mzigo pia.
Lady Jaydee nae zipo zipo sio haba. Wako kimya sana kuhusu hela zao.

Dogo Platinumz ndio funga kazi yani. Nafikiri hata Sugu hajamkuta bado.
Huenda utajiri wa sugu ni sawa na gari zote za mond
 
Back
Top Bottom