Sugu nafasi yako ya kuchukua jimbo la Mbeya ni hii

Sugu nafasi yako ya kuchukua jimbo la Mbeya ni hii

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Nipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.

Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.
 
Nipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.

Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.
Sugu ni wale wale kina profesa Mukuma.
Wasiojua kusoma na kuandika!
 
Nipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.

Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.
Jimbo la Mbeya lilikuwa jimbo makini wakati wa Sugu,leo jimbo la Mbeya mjini limetoa spika asiyejielewa kabisa katika historia ya Bunge la Tanzania.
 
Nipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.

Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.
Hv mbunge ambaye hana Akili unawezaje kumuelewa.
 
Ameshaahidiwa mkate huyo, hawezi kuongea. Hata msigwa hauwezi kumsikia 🤣🤣🤣.

CDM ni Lissu na Mnyika tu, labda wafanye kuwasamehe wale akina dada 18 kisha waanze upya.
 
Nipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.

Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.
Focus
Discipline
Consistency
Mobilization
 
Sugu mwenyewe sasa:

WhatsApp Image 2023-06-20 at 10.22.58 AM.jpeg
 
UUUU
Jimbo la Mbeya lilikuwa jimbo makini wakati wa Sugu,leo jimbo la Mbeya mjini limetoa spika asiyejielewa kabisa katika historia ya Bunge la Tanzania.
Jimbo la Mbeya kwasasa limepata mbunge mwenye hadhi ya jiji,sugu aliokota dodo chini ya mpera, bahati haiji mara mbili,aendeleze alichokichuma kwa miaka 10 ya bahati.Akirogwa kugombea hata kale gesti kake katapotea kabisa.Mbeya inabadilika kwa kasi ya ajabu kwasasa.
 
hii ilikuwa nafasi nzuri kumshitaki mpinzani wake kwa wananchi kile anachokifanya kwasababu kila mtu anaona. mtelezo tu.
 
Nipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.

Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.
Kwa jinsi yule dada alivyowadhalilisha wabunge waliokuwa wakipinga mkataba wa DP Hadi uboreshwe; Sugu Hana mpinzani MBY
 
lile jimbo bora apewe hata sugu kuliko spika wa dp world
 
Nipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.

Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.
Chai
 
Back
Top Bottom