Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Sugu ni wale wale kina profesa Mukuma.Nipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.
Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.
Jimbo la Mbeya lilikuwa jimbo makini wakati wa Sugu,leo jimbo la Mbeya mjini limetoa spika asiyejielewa kabisa katika historia ya Bunge la Tanzania.Nipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.
Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.
Hv mbunge ambaye hana Akili unawezaje kumuelewa.Nipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.
Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.
FocusNipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.
Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.
Sasa huyo anayejua kusoma betina wenu ndiyo kafanya nini cha maanaSugu ni wale wale kina profesa Mukuma.
Wasiojua kusoma na kuandika!
🤣🤣🤣🤣Yuko busy kudai madaktari wa Sudan badala ya kuhutubia jimboni.. Dah🤔🤔
Acha uongo weweAmeshaahidiwa mkate huyo, hawezi kuongea. Hata msigwa hauwezi kumsikia [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
CDM ni Lissu na Mnyika tu, labda wafanye kuwasamehe wale akina dada 18 kisha waanze upya.
makiwadi wa covid 19 mtateseka sana na hao makahaba.Ameshaahidiwa mkate huyo, hawezi kuongea. Hata msigwa hauwezi kumsikia 🤣🤣🤣.
CDM ni Lissu na Mnyika tu, labda wafanye kuwasamehe wale akina dada 18 kisha waanze upya.
Jimbo la Mbeya kwasasa limepata mbunge mwenye hadhi ya jiji,sugu aliokota dodo chini ya mpera, bahati haiji mara mbili,aendeleze alichokichuma kwa miaka 10 ya bahati.Akirogwa kugombea hata kale gesti kake katapotea kabisa.Mbeya inabadilika kwa kasi ya ajabu kwasasa.Jimbo la Mbeya lilikuwa jimbo makini wakati wa Sugu,leo jimbo la Mbeya mjini limetoa spika asiyejielewa kabisa katika historia ya Bunge la Tanzania.
Watu wa Mbeya mna historia ya ujinga.Sasa huyo anayejua kusoma betina wenu ndiyo kafanya nini cha maana
Kwa jinsi yule dada alivyowadhalilisha wabunge waliokuwa wakipinga mkataba wa DP Hadi uboreshwe; Sugu Hana mpinzani MBYNipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.
Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.
ChaiNipo Mbeya kwa wiki tatu sasa, mjadala kwenye daladala na masokoni ni DP WORLD, nothing more. Watu hawamwelewi mbunge wao.
Sugu kama unataka kushinda jimbo lako, nafasi yako ndio hii, siwezi kukufundisha cha kufanya ila weka mikutano uwashitakie wananchi kwasababu wanahitaji kusikia toka kwa mtu anayeongea mambo ya maana akama haya. ni ushauri tu.