Sukari imepanda Bei. Hapo ulipo bei ipoje?

Sukari imepanda Bei. Hapo ulipo bei ipoje?

Ujue hili la sukari limekaa kuumizana

Wakazi wa Mbeya na Songwe walikuwa wanahojiwa majuzi taarifa za habari wakase. Sukari ya Tanzania imeadimika imefichwa na wenye pesa bei juu wananchi wanashindwa kununua

Walipohojiwa hizo za madukani za wapi wakasema huku Songwe hatuna shida sukari inauzwa ya Zambia tena kwa bei nzuri kabisa

Tatizo wafanyabiashara wenyewe wameamua kuwaumiza wananchi ila wee njoo Mbeya unywe chai utakavyo na sukari ya Mbeya

Heri waishiyo maeneo ya boarder maana ufalme wa sukari ni wao.

Kila la kheri ndugu zangu wacha tupambane na hali zetu na buku 5 kwa kg
 
Huwa najiuliza hili swali kama viwanda vya ndani vimeshindwa kuzalisha sukari bei murua kwanini wasiruhusu viwanda vya nje viuze ndani?

hii inamaanisha technologia wametuzidi wanaweza tengeneza sukari bei ndogo na bado wakapata faida!!
Policy za ovyo tu hii nchi
Kakaaaaaaa kuna uchaaa wa hataree hilojambo sahaau

Nilihusika na kusimamia issue moja kule tarime waganda walikuwa wanataka kuanzisha tarime sugar wakaja na watuwao wakaingia maeneo kamayote wakasema limejaa maji sana

Wakaenda musoma wakalipenda eneo moja weweee hizooo kelelezake njoon na bosimkubwa tuongee sasa jamaa hajui kupinda akapiga akaongea nao mmmh huyu anataka hiki yule anataka kill ndoo tuidhinishe eneo jamaa akawaza akachapalapa
 
Kakaaaaaaa kuna uchaaa wa hataree hilojambo sahaau

Nilihusika na kusimamia issue moja kule tarime waganda walikuwa wanataka kuanzisha tarime sugar wakaja na watuwao wakaingia maeneo kamayote wakasema limejaa maji sana

Wakaenda musoma wakalipenda eneo moja weweee hizooo kelelezake njoon na bosimkubwa tuongee sasa jamaa hajui kupinda akapiga akaongea nao mmmh huyu anataka hiki yule anataka kill ndoo tuidhinishe eneo jamaa akawaza akachapalapa

Wananchi au serikali za mitaa au za halmashauri ndo zilizuia??
 
ujue hili la sukari limekaa kuumizana

wakazi wa mbeya na songwe walikuwa wanahojiwa majuzi taarifa za habari wakase.ma sukari ya Tanzania imeadimika imefichwa na wenye pesa bei juu wananchi wanashindwa kununua

walipohojiwa hizo za madukan za wapi wakasema huku songwe hatuna shida sukari inauzwa ya zambia tena kwa bei nzuri kabisa

tatizo wafanyabiashara wenyewe wameamua kuwaumiza wananchi..ila wee njoo mbeya unywe chai utakavyo na sukari yaa mbeya

dah heri waishiyo maeneo ya boarder maana ufalme wa sukari n wao....

kilalakheri nduguzangun wacha tupambane na hali zetu na bk 5 kwa kg
Sukari Yao inatoka Zambia kilo 2900
 
ujue hili la sukari limekaa kuumizana

wakazi wa mbeya na songwe walikuwa wanahojiwa majuzi taarifa za habari wakase.ma sukari ya Tanzania imeadimika imefichwa na wenye pesa bei juu wananchi wanashindwa kununua

walipohojiwa hizo za madukan za wapi wakasema huku songwe hatuna shida sukari inauzwa ya zambia tena kwa bei nzuri kabisa

tatizo wafanyabiashara wenyewe wameamua kuwaumiza wananchi..ila wee njoo mbeya unywe chai utakavyo na sukari yaa mbeya

dah heri waishiyo maeneo ya boarder maana ufalme wa sukari n wao....

kilalakheri nduguzangun wacha tupambane na hali zetu na bk 5 kwa kg
Kaka wamekudanganya sukari mbeya na Songwe ni elfu tano .

Hiyo ya zambia ni magendo kuipata tu ni mtiti ila ukweli ni kuwa Zambia sukari iko chini kwa upande wa Nakonde hapa Tunduma .

Vipi lakini nikutumie shukrani wapi jana kadraw bana

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kaka wamekudanganya sukari mbeya na Songwe ni elfu tano .

Hiyo ya zambia ni magendo kuipata tu ni mtiti ila ukweli ni kuwa Zambia sukari iko chini kwa upande wa Nakonde hapa Tunduma .

Vipi lakini nikutumie shukrani wapi jana kadraw bana

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kaakaaamkuu itv wameenda madukan na wananchi wako nje wanaulizwa wanasema kama si zambia tungekuqa tunateseka sana.. hata wenye maduka wanakiri wao wanauza ya zambia tu tz bei yake hawaiwezi
mbeya kubwa mkuu pengine ukoulipo bei 5000...
Src taarifa ya habari
 
Huwa najiuliza hili swali kama viwanda vya ndani vimeshindwa kuzalisha sukari bei murua kwanini wasiruhusu viwanda vya nje viuze ndani?

hii inamaanisha technologia wametuzidi wanaweza tengeneza sukari bei ndogo na bado wakapata faida!!
Policy za ovyo tu hii nchi
Nchi nyingine wanalinda wanànchi, zingine wanalinda maslahi ya mafisadi wachache waendelee kula kwa urefu wa kamba zao.
 
ujue hili la sukari limekaa kuumizana

wakazi wa mbeya na songwe walikuwa wanahojiwa majuzi taarifa za habari wakase.ma sukari ya Tanzania imeadimika imefichwa na wenye pesa bei juu wananchi wanashindwa kununua

walipohojiwa hizo za madukan za wapi wakasema huku songwe hatuna shida sukari inauzwa ya zambia tena kwa bei nzuri kabisa

tatizo wafanyabiashara wenyewe wameamua kuwaumiza wananchi..ila wee njoo mbeya unywe chai utakavyo na sukari yaa mbeya

dah heri waishiyo maeneo ya boarder maana ufalme wa sukari n wao....

kilalakheri nduguzangun wacha tupambane na hali zetu na bk 5 kwa kg
Wana sukari ya Malawi(Illovo) na Zambia hizo zote ni aghari na hazina sukari kama ya Tanzania ambayo ni bora sana na bei nafuu ukilinganisha na za nchi nyingine duniani.
 
Blah blah nyingi Tanzania, tufanye kazi kitaalamu, Mazabuka ni kamji kadogo sana ila kanazalisha sukari nyingi mno wakati sisi Kilombero,mtibwa, kagera, Bwagamoyo bado hatujitoshekezi, na kingine muhimu watanzania tuache kuzaliana kama simbilisi!!
 
Tena utakuta wana sukari yenye kukolea kwa haraka kwenye chai!!!
 
ujue hili la sukari limekaa kuumizana

wakazi wa mbeya na songwe walikuwa wanahojiwa majuzi taarifa za habari wakase.ma sukari ya Tanzania imeadimika imefichwa na wenye pesa bei juu wananchi wanashindwa kununua

walipohojiwa hizo za madukan za wapi wakasema huku songwe hatuna shida sukari inauzwa ya zambia tena kwa bei nzuri kabisa

tatizo wafanyabiashara wenyewe wameamua kuwaumiza wananchi..ila wee njoo mbeya unywe chai utakavyo na sukari yaa mbeya

dah heri waishiyo maeneo ya boarder maana ufalme wa sukari n wao....

kilalakheri nduguzangun wacha tupambane na hali zetu na bk 5 kwa kg
Na wewe hamia huko.

Hiyo sukari ya Bei ni strictly along border areas na sio beyond hapo
 
Naangalia ITV habari

Wafanyabiashara saba wamekamatwa kwa kuficha sukari

Sasa ukishawakamata mnatuambiaje, je sukarii itashuka bei

Sisi tunaka bei ishuke jaman, tumechokaaa
 
Back
Top Bottom