[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwa mnaniudhi sana mnapomchukulia serious yule bibi pale juu
Pale tumeyataka haya, kodi kubwa na vibali vya sukari kupewa makada wachache wa chama ndio wamefikisha hapo.\Hivi hii Serikali inafuatilia kweli maisha ya Wananchi wake huko mitaani? Watu wanauziwa Sukari Tsh. 5000 kwa kilo na Wafanyabishara hata hawana hofu yoyote.
Ni kwamba hakuna anayejali hali za Wananchi tayari linatengenezwa tatizo la kisiasa ili waje walitumie kwenye kampeni zao?
Mnashindwa nini kuachana nayoWatanzania acheni kulalamika kila kitu, komaeni tu.
"hata ikifika 10k tutanunua tu, sa tufanyeje? [emoji848] Hawatukomoi"
Maneno ya mnyonge hayo[emoji3516]
Mimi sukumbuki mara ya mwisho nimenunua lini sukari, ila nadhani wenye watoto wadogo sukari haikwepeki!Poleni kwa mnaotumia sukari
Nyie ni watumwa na mna addiction
Ona mnavyohaha,kwani lazima mtumie sukari
Ova
sukari inakazi nyingi sana matumizi ya familia ni sehemu ndgo sana ya sukari yote iliyopo ingawa ni ndogo pia!Mnashindwa nini kuachana nayo
Na nyie wasusieni tu wakae n sukari
Yao wale wao na familia zao uone
Kama hawatoiuza
Acheni kuwa watumwa
Ova
Kila kitu hovyo. Kwakweli wanawake tunazidi kuonesha kua hatuwezi kuongozaAwamu hii tutasema yote mbona
Mitano tena
Kero tu.. TafraniHupendezi kutukana.
Yaniii vitu vinajidhihirisha wazi.. Mama ajitafakari sanaKila kitu hovyo. Kwakweli wanawake tunazidi kuonesha kua hatuwezi kuongoza
Hotuba ya Desemba 31 alisema Hangaya kuwa serikali imedhibiti mfumuko wa bei.Hivi hii Serikali inafuatilia kweli maisha ya Wananchi wake huko mitaani? Watu wanauziwa Sukari Tsh. 5000 kwa kilo na Wafanyabishara hata hawana hofu yoyote.
Ni kwamba hakuna anayejali hali za Wananchi tayari linatengenezwa tatizo la kisiasa ili waje walitumie kwenye kampeni zao?