Sukari inauzwa hadi 5000 na Serikali iko kimya hadi sasa, bei elekezi ni ipi?

Sukari inauzwa hadi 5000 na Serikali iko kimya hadi sasa, bei elekezi ni ipi?

Uislamu Unasema Kuwa Mwnamke Hapewi Uongozi, Hata Ubalozi Wa Nyumba 10 na Hata Huo Uongozi Wa Kusimamia Familia Yake Tu Ya Watoto 2 au 3 Lazma Awe Chin Ya Usimamiz Wa Mwnaume, Ndy Maana Wababa Wasiofuatilia Mama Anavyolea Wanae Anatiliwa Mimba Mtoto Wake Wa Kike Humo Humo Ndani Ya Nyumba Mama Anajua Kila Kitu Ila Baba Hajui, Sasa Watu Wakisema Munakuja Juu na Kuwasikiliza Wazungu! Utaskia Ooh! Unyanyasaji Haki Sawa Kwa Wote, haya p
Uneni cha mtema kuni kidogo na hapo bado 25-30 😂😂
 
Kila kitu hovyo. Kwakweli wanawake tunazidi kuonesha kua hatuwezi kuongoza
Hivi hii ya kuandika "hovyo" badala ya "ovyo" mbona imeshari sana jf.

Aah wanawake wengi hawana sifa ya uongozi, ni vile mifumo ya sasa ya dunia inalazimisha tu.
 
Hivi hii ya kuandika "hovyo" badala ya "ovyo" mbona imeshari sana jf.

Aah wanawake wengi hawana sifa ya uongozi, ni vile mifumo ya sasa ya dunia inalazimisha tu.
Joyce Banda alitaka kuisusa malawi [emoji23][emoji23]wamama vifua vidogo kuhimili mambo makubwa,mababu walikuw wanajua hakuna kusoma ni kulea na kupika tu[emoji23][emoji23]
 
Pambana na hali yako, ikifika uchaguzi 2024 mwishoni itashuka tu ila kwa sasa pambana.
 
Hivi hii Serikali inafuatilia kweli maisha ya Wananchi wake huko mitaani? Watu wanauziwa Sukari Tsh. 5000 kwa kilo na Wafanyabishara hata hawana hofu yoyote.

Ni kwamba hakuna anayejali hali za Wananchi tayari linatengenezwa tatizo la kisiasa ili waje walitumie kwenye kampeni zao?
Kilimanjaro nimenunua juzi sh 4,000, jamani Hali si Hali kbs. Bado bidhaa za chakula masokoni, ya I tunaisoma no kweli kweli.
 
Hawa jamaa wanaanza kupandishia sukari kupitia magazeti baada ya wiki tatu Bei sokoni ndio inajibu Kwa kupaa wanasingiziaga mzigo wa stoo na inakuwaga ni uongo na uhuni unafanyika.
 
Ningependa kilo ya sukari iuzwe Elfu 10.
Ili watu waachane nayo, maana haina maana.
 
Hii ni fursa kwa mfanyabiashara makini, kama una tani za kutosha, uza kwa sh.2000/= kwa kilo
 
Nchi Ya Ajabu Sana Nilikuwa Mkoa Mmoja Nikapanda Daladala Umbali Usiozidi Kilometers 10 Wanatoza Nauli Tshs 700 Na Ikifika Usiku Tshs 1500/= Bila Kujari Umbali
Nikampigia Kiongozi Wa LATRA Simu Nikamuuliza Ninyi Ndiyo Mamlaka Ulipewa Kusimamia
Usafirishaji Wa Abiria Na Kupanga Bei



Kwanini Mnaacha Wenye Daladala WaAmue Kutoza Pesa Watakavyo Hawana Tickets
Kama Tupo Banana Republic. Akasema Sasa Naomba Unitumie Number Za Daladala
Nikamjibu Kinachotakiwa Toka Ofisini Ingia Field Kuhakikisha Nauli Ni Zile Mlizosema



Baadaye Napanda Daladala Hali Imekuwa Sawa Wanatoza Nauli Iliyotangazwa
Huu Unaoitwa Uholera Unatengenezwa Na Serikali Yenyewe Sukari Inapanda
Serikali Haisemi Lolote Sijui Bodi Ya Sukari Kimya
 
Tunakusanya Hela ya General Election,mtakoma mwaka huu
 
Hivi hii ya kuandika "hovyo" badala ya "ovyo" mbona imeshari sana jf.

Aah wanawake wengi hawana sifa ya uongozi, ni vile mifumo ya sasa ya dunia inalazimisha tu.
kiswahili kigumu
 
Back
Top Bottom