Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!... hatari hiiHivi hii Serikali inafuatilia kweli maisha ya Wananchi wake huko mitaani? Watu wanauziwa Sukari Tsh. 5000 kwa kilo na Wafanyabishara hata hawana hofu yoyote.
Ni kwamba hakuna anayejali hali za Wananchi tayari linatengenezwa tatizo la kisiasa ili waje walitumie kwenye kampeni zao?
Matatizo ya bei ya sukari hayawezi kumalizwa na serikali kutoa bei elekezi.Hivi hii Serikali inafuatilia kweli maisha ya Wananchi wake huko mitaani? Watu wanauziwa Sukari Tsh. 5000 kwa kilo na Wafanyabishara hata hawana hofu yoyote.
Ni kwamba hakuna anayejali hali za Wananchi tayari linatengenezwa tatizo la kisiasa ili waje walitumie kwenye kampeni zao?
Kwanza wataalamu wa afya wanashauri watu wapunguze matumizi ya sukari.Mnashindwa nini kuachana nayo
Na nyie wasusieni tu wakae n sukari
Yao wale wao na familia zao uone
Kama hawatoiuza
Acheni kuwa watumwa
Ova
Mkuu upo kama mimi sukari situmii kabisa.Poleni kwa mnaotumia sukari
Nyie ni watumwa na mna addiction
Ona mnavyohaha,kwani lazima mtumie sukari
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila Samia ana aibisha sana hili taifa aisee!Nchi Ya Ajabu Sana Nilikuwa Mkoa Mmoja Nikapanda Daladala Umbali Usiozidi Kilometers 10 Wanatoza Nauli Tshs 700 Na Ikifika Usiku Tshs 1500/= Bila Kujari Umbali
Nikampigia Kiongozi Wa LATRA Simu Nikamuuliza Ninyi Ndiyo Mamlaka Ulipewa Kusimamia
Usafirishaji Wa Abiria Na Kupanga Bei
Kwanini Mnaacha Wenye Daladala WaAmue Kutoza Pesa Watakavyo Hawana Tickets
Kama Tupo Banana Republic. Akasema Sasa Naomba Unitumie Number Za Daladala
Nikamjibu Kinachotakiwa Toka Ofisini Ingia Field Kuhakikisha Nauli Ni Zile Mlizosema
Baadaye Napanda Daladala Hali Imekuwa Sawa Wanatoza Nauli Iliyotangazwa
Huu Unaoitwa Uholera Unatengenezwa Na Serikali Yenyewe Sukari Inapanda
Serikali Haisemi Lolote Sijui Bodi Ya Sukari Kimya
nyie ndio mko kimya, Ingekuwa ni Kenya raia wangeisha lianzisha, Nyie hata ikiuzwa Tsh 10,000/ hakuna kitu mnaweza fanya tofaut na kulalamikaHivi hii Serikali inafuatilia kweli maisha ya Wananchi wake huko mitaani? Watu wanauziwa Sukari Tsh. 5000 kwa kilo na Wafanyabishara hata hawana hofu yoyote.
Ni kwamba hakuna anayejali hali za Wananchi tayari linatengenezwa tatizo la kisiasa ili waje walitumie kwenye kampeni zao?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann?Huwa mnaniudhi sana mnapomchukulia serious yule bibi pale juu
Town ni elf 4, maduka ya mtaan 4.4Kwetu kilo moja 3200 ya Tz
Ya malawi 2800.
wewe utakuwa mgonjwa uliyezuiwa kutumia sukari pole, sukari haikwepeki sukari ipo mpaka kwenye pombe.Poleni kwa mnaotumia sukari
Nyie ni watumwa na mna addiction
Ona mnavyohaha,kwani lazima mtumie sukari
Ova
Unaambiwa Mama hana habari yeyote, yeye yuko bize kumung'unya kungu na kwenda Uarabuni kuweka mazingira yake sawa baada ya kustaafishwa kwa manufaa ya umma.Hivi hii Serikali inafuatilia kweli maisha ya Wananchi wake huko mitaani? Watu wanauziwa Sukari Tsh. 5000 kwa kilo na Wafanyabishara hata hawana hofu yoyote.
Ni kwamba hakuna anayejali hali za Wananchi tayari linatengenezwa tatizo la kisiasa ili waje walitumie kwenye kampeni zao?
Ipi tamu kati ya Malawi na ya Tanzania?Kwetu kilo moja 3200 ya Tz
Ya malawi 2800.
Mkuu.🤔🤔Huwa mnaniudhi sana mnapomchukulia serious yule bibi pale juu
Inasikitisha sana...Awamu hii tutasema yote mbona
Mitano tena
Inatakiwa kuuzwa 9000Hivi hii Serikali inafuatilia kweli maisha ya Wananchi wake huko mitaani? Watu wanauziwa Sukari Tsh. 5000 kwa kilo na Wafanyabishara hata hawana hofu yoyote.
Ni kwamba hakuna anayejali hali za Wananchi tayari linatengenezwa tatizo la kisiasa ili waje walitumie kwenye kampeni zao?