The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
- Thread starter
- #161
Raisi wetu mpenda Wanyonge ataingilia kati na bei itakua himilivu.Sukar ni fimbo anayotuchapia Zakaria na mo dewj.wao ndo waliowapandishia wafanyabiashara kwenye whole selling...sio kweli kwmba sukar madukan hamna,ila haiingii akilin mangi akuuzie2600/kg,wkt yeye kauziwa 65000/20kg.kwhyo sukar itaendelea kufichwa hd itakavyokua vinginevyo
Sent using Jamii Forums mobile app