Sukar ni fimbo anayotuchapia Zakaria na mo dewj.wao ndo waliowapandishia wafanyabiashara kwenye whole selling...sio kweli kwmba sukar madukan hamna,ila haiingii akilin mangi akuuzie2600/kg,wkt yeye kauziwa 65000/20kg.kwhyo sukar itaendelea kufichwa hd itakavyokua vinginevyo
Sent using
Jamii Forums mobile app