Sukuma Gang is Real: Waanza kumtisha Rais Samia, wamtumia Msukuma kudai mkoa wa Chato kinguvu

Huduma zipi hizo zinafuatwa mbali?? Kutoka Chato mpaka Geita ni kilomita ngapi??
 
Mwandishi ni mchonganishi,

Ingekuwa zamani utawala wa Kirumi,

Angetakiwa afungwe JIWE kubwa la kusagia na atupwe baharini.
 
We endelea tu. Pika hicho unachopika. Kanda ya ziwa ni kitu kimoja na iko imara sana. Tuendelee kusubiri 2025.
 
We endelea tu. Pika hicho unachopika. Kanda ya ziwa ni kitu kimoja na iko imara sana. Tuendelee kusubiri 2025.
Sio kweli kanda ya ziwa hawampendi maa na hawaitaki chadema kwa sasa,wamesusa kabisa mambo ya siasa
 
Hakuna kitu wala kundi unaloaminisha watu.

Acheni mara moja kuleta mgawanyiko ktk Nchi.

Nchi ni Moja Tanzania.

Kudai Mkoa haijawahi kutafsiriwa kama kumtisha mkuu wa Nchi.
Kundi lipo ila limekaa kiitikadi zaidi,halina ofisi wala viongozi rasmi lakini lipo
 
This thread it's not related with reality.

Andika nyuz zenye mantiki kwa taifa lako.

May be unge andika nyuzi zinazo tetea masilahi ya nchi na rasilimali zake.
Hizo gangs mnazikuza wenyewe lkn hazipo ivo mzaniavyo.
 
Kundi lipo ila limekaa kiitikadi zaidi,halina ofisi wala viongozi rasmi lakini lipo
Hakuna kitu kama hicho,

Tuache siasa za kuwagawa wananchi,

Tuungane pamoja kuijenga Nchi moja,

Vyama au uchu wa madaraka visitumike kutuletea matabaka ktk Nchi.
 

Wasukuma wenye mfumo dume ila wana historia ya kuwa na wabunge wanamke walioshinda mbele ya wanaume!

Hizi ni chuki zako tu kwa wasukuma, huyo unayedai hapendwi ndiye atavuna kura nyingi usukumani kuliko huko kwenye mfumo jike (sijui ni wapi)

Mada za chuki na ufitinishi kama hizi sijui kwa nini zinaachwa tu na wenye jukwaa lao.
 
Kumbe mwandishi ni chawa anayekaa kwenye nywele chafu!
 
Hao wajomba wa mwenadazake waliokuwa wanavaa suti zimepwaya kama za mitimba wanaweza kumtisha Samia ???!!!!!’
 
Wale wanyama wa Arusha waliotekwa wakapelekwa Chato bado wapo au wametoroka au wamekufa tujulisheni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…