Sukuma Gang is Real: Waanza kumtisha Rais Samia, wamtumia Msukuma kudai mkoa wa Chato kinguvu

Mfumo jike ndo unafaa?
 
Hivi hq ya wasukuma ni chato?
 

Hakuna mtu wa kumtisha Rais ndugu yangu. Alafu issue ya chato kuwa mkoa sidhani kama ni concern ya kila mtanzania serikali inachofanya ni kupeleka mahitaji muhimu kwa watanzania na hao ndio watampa kura 2025 sio Sukuma Gang
 
Aliyeikosea sana nchi hii ni JK, kumwendekeza Magufuli. Alifanya makosa makubwa sana kuunda mkoa wa Geita. Geita iliundwa kwa kuumega mkoa wa Kagera, leo wanataka kuunda mkoa wa Chato kwa kuumega tena mkoa wa Kagera. Hii maana yake nini, cheka na wajinga washamba utavuna usichotegemea. Kuna mikoa inatakiwa imegwe kwasababu ina sifa ila serikali inahangaika na washamba. Mi siamini km kuna mtu au group linaweza kumtisha rais wa nchi hii, siamini.
 
Kwani kuna shida gani chato ikiwa mkoa? Mbona mnapenda kukuza mambo kijinga yaonekane yanamaana sana? Mnaacha kuoambania mindege inayotua huko Loliondo mnapambana Chato usiwe mkoa!
we kweli dondocha. Tumia akili badala ya makalio
 
Watakwama tu
 
Watu wa huku wana mfumo dume hawaamini kama mwanamke anaweza kuwa Rais.

Pili ni wivu tu na roho mbaya,wanaona kama wewe unafaidi matunda ya mwenazake bure
Ni watu wabaya sana hawa
 
uzi uliojaa uongo mtupu.
Rais ndo mwenyekiti wa chama ni kama mungu mtu vile mbunge gani wa CCM amtikise Rais!
Kigwa anakwambia hivi"Rais ni mwenyekiti wa chama hakosolewi",huyo ndo mbunge sasa anamuona mwenyekiti kama mungu mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…