Sukuma Gang sio watu wa kupuuzwa, itafutwe namna ya kuifuta hii itikadi ili kuleta Umoja wa Kitaifa

Sukuma Gang sio watu wa kupuuzwa, itafutwe namna ya kuifuta hii itikadi ili kuleta Umoja wa Kitaifa

Sijui kama kuna Mtanzania mwenye akili zake anayeamini ulaghai huo. Hata maana ya Ujamaa ilikuwa ni siri ya Nyerere mwenyewe. Hakuna Mtanzania anayeweza kuielezea kwa ufasaha.

Kujitegemea? After >60 years of independence, misaada na mikopo nafuu ikisimamishwa mwaka mmoja tu nchi hii inaanguka chali! Nchi zilizoazimia kwa dhati kujitegemea tangu 1961 ziko dunia nyingine sio ya LDCs.
Well nailed 👏 👌
 
Utakuwa na mental problem mkuu. Mnanilazimisha nimseme vibaya comrade Mh. Membe, hapana. Dkt Magufuli alikuwa mzalendo namba moja. Choko ka wewe wala hutusumbui kwa sababu ni mjinga fulani usiyekuwa na mbele wala nyuma kwa sababu you’re biased and misinformed. So kaa na huo ujinga wako wa kushangilia vifo vya viongozi. Ukome kabisa kujibizana na mimi choko mkubwa na uliyejaza mavi kichwani maana kama huwezi heshimu hata mtu aliyekufa wewe ni choko na punga.
Hayati Magufuli hakuwa mzalendo bali manipulator na propagandist mkubwa.
Ila alifanikiwa sana kuwakamata ninyi wafuasi wake akili.

Kwa matendo yake, tunayo yote sio siri, Mwendazake alikuwa mwizi, fisadi, muuaji na mwendawazimu.
Hiyo ndio legacy yake.
 
Hayati Magufuli hakuwa mzalendo bali manipulator na propagandist mkubwa.
Ila alifanikiwa sana kuwakamata ninyi wafuasi wake akili.

Kwa matendo yake, tunayo yote sio siri, Mwendazake alikuwa mwizi, fisadi, muuaji na mwendawazimu.
Hiyo ndio legacy yake.
Wewe ndiyo upo manipulated bosi. Uwezo wako kichwani ni mdogo na umejaa chuki binafsi.
 
Na vipi kuhusu Msoga?? Au hilo liendelee kusavive na uongozi wa kurithishana?? Acha chuki na watu. Na wewe anzisha gang lako basi.
 
Back
Top Bottom